Gharama sio kulinunua jiko pekee, induction cookers zinachagua sufuria, kwa hiyo ininabidi uweke bajeti ya kununua sufuria kwa kila size ya mapishi unayotaka kupika na, sufuria zake zimechangamka bei pia.
Swali lako inabidi uliweke vema zaidi..., Ila kiuhalisia Umeme / Kupikia Umeme ni bei rahisi kuliko gesi (kwa gharama za units) sasa inakuja ufanisi wa chombo jiko (mfano ukipika wali kwa rice cooker, kuchemsha maji kwa jug kettle na ukatumia pressure cooker) mambo yanazidi kujipa..., na ukitumia induction cooker ndio umemaliza kabisa
Katika muendelezo wa Makala zangu za Nishati safi ya kupikia; kumekuwa na sintofahamu kuhusu gharama za umeme kwamba ni kubwa sana hivyo kwa kumuwezesha mwananchi ni bora kumpa gesi. Nimeona bora tuangalie ukweli huo kwa kutumia mahesabu yasiyo rasmi.... 1kg ya Gesi = 13.6kwh (units) Kwenye...
Baada ya kuona kwenye Habari Serikali imeanzisha Mfuko wa Nishati Safi ya Kupikia nikaona ni vema tuangalie kwa nchi Yetu Nishati hio ni ipi na ni vipi itatufaa, ili tusije kuingia gharama ambazo zitakuwa hazina manufaa kwetu. Nishati zilizopo: Kwenye kila kaya aina ya Nishati inayotumiwa...
Yaani kila mwanakijiji au kama tukiamua wote wawe Tariff Zero kila mwenye Mtungi wa kujaza elfu 25 akienda kununua huyu wa umeme anasave elfu 16 au kwa maana nyingine ni kama mwenye umeme ananunua mtungi wa gesi kwa elfu nane. Hili lipo wazi kabisa swali ni kwamba kwanini kama Taifa tunapigia...
Swali lako inabidi uliweke vema zaidi..., Ila kiuhalisia Umeme / Kupikia Umeme ni bei rahisi kuliko gesi (kwa gharama za units) sasa inakuja ufanisi wa chombo jiko (mfano ukipika wali kwa rice cooker, kuchemsha maji kwa jug kettle na ukatumia pressure cooker) mambo yanazidi kujipa..., na ukitumia induction cooker ndio umemaliza kabisa
Katika muendelezo wa Makala zangu za Nishati safi ya kupikia; kumekuwa na sintofahamu kuhusu gharama za umeme kwamba ni kubwa sana hivyo kwa kumuwezesha mwananchi ni bora kumpa gesi. Nimeona bora tuangalie ukweli huo kwa kutumia mahesabu yasiyo rasmi.... 1kg ya Gesi = 13.6kwh (units) Kwenye...
Baada ya kuona kwenye Habari Serikali imeanzisha Mfuko wa Nishati Safi ya Kupikia nikaona ni vema tuangalie kwa nchi Yetu Nishati hio ni ipi na ni vipi itatufaa, ili tusije kuingia gharama ambazo zitakuwa hazina manufaa kwetu. Nishati zilizopo: Kwenye kila kaya aina ya Nishati inayotumiwa...
Yaani kila mwanakijiji au kama tukiamua wote wawe Tariff Zero kila mwenye Mtungi wa kujaza elfu 25 akienda kununua huyu wa umeme anasave elfu 16 au kwa maana nyingine ni kama mwenye umeme ananunua mtungi wa gesi kwa elfu nane. Hili lipo wazi kabisa swali ni kwamba kwanini kama Taifa tunapigia...
Agent anahusika kiongozi.
unaagizisha then Agent anakuletea tz kwa Ngalawa ndani ya siku 60
Kama unataka usipitie kwa agent Agiza aliexpress itapitia posta au Speedaf ila bei ya motoo
Agent anahusika kiongozi.
unaagizisha then Agent anakuletea tz kwa Ngalawa ndani ya siku 60
Kama unataka usipitie kwa agent Agiza aliexpress itapitia posta au Speedaf ila bei ya motoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.