Ipi ni bora kati ya Subaru forester (Isiyo na turbo) na Volkswagen Tiguan, zote za 2010?

Ipi ni bora kati ya Subaru forester (Isiyo na turbo) na Volkswagen Tiguan, zote za 2010?

Usimdanganye mwenzio, mwambie ni maeneo tiguan inaizidi forester, ila si yote. Mfano tu kwenye suala la off-road ability, tiguan haiwezi kuifuata forester.
Reliability ni eneo jingine Subaru ni afadhali kuliko Tiguan.
Space ndani ya gari na boot, Forester ni zaidi
Off road propensity hizo gari zote zipo sawa. Nani kakwambia subaru forester ni gari ya off road, haina uwezo wowote wa kuhimili off-road kiasi cha kwamba Tiguan ikashindwa. Nishamiliki forester naijua vizuri huko off road yaitaji uibembeleza sana otherwise uhamue tu kujitoa ufaham ila athari zake huwezi fika mbali utaziona. Swala la reliability ni mindset tu. Boot space kwani unabeba kuni😂
 
Off road propensity hizo gari zote zipo sawa. Nani kakwambia subaru forester ni gari ya off road, haina uwezo wowote wa kuhimili off-road kiasi cha kwamba Tiguan ikashindwa. Nishamiliki forester naijua vizuri huko off road yaitaji uibembeleza sana otherwise uhamue tu kujitoa ufaham ila athari zake huwezi fika mbali utaziona. Swala la reliability ni mindset tu. Boot space kwani unabeba kuni[emoji23]

Sijasema forester ni offroad King, hii ni comparison ya gari hizi mbili. So Kama forester unaibembeleza offroad, VW utaibeba kichwani…
Shida moja kwenye haya majukwaa, mtu akiuliza ushauri technical anapewa hisia badala ya ushauri halisi. Mpaka mtu anasema reliability ni mindset..[emoji2]
Naamini mtoa mada ana akili timamu ndo maana aliomba ushauri jukwaani, na naendelea kumshauri kutokana na vigezo vyake vya mazingira yetu, mafundi na barabara zetu aende na forester. Asifuate wingi wa kura au hisia za watu
 
Sijasema forester ni offroad King, hii ni comparison ya gari hizi mbili. So Kama forester unaibembeleza offroad, VW utaibeba kichwani…
Shida moja kwenye haya majukwaa, mtu akiuliza ushauri technical anapewa hisia badala ya ushauri halisi. Mpaka mtu anasema reliability ni mindset..[emoji2]
Naamini mtoa mada ana akili timamu ndo maana aliomba ushauri jukwaani, na naendelea kumshauri kutokana na vigezo vyake vya mazingira yetu, mafundi na barabara zetu aende na forester. Asifuate wingi wa kura au hisia za watu
Bro wewe ndio unaongea kwa hisia plus hear say za vijíweni na ndio shida kubwa ya sisi wabongo. Forester haina inachomshinda Tiguan when it comes to off roading, practically hyo forester nishawai kuwa nayo na nishaindesha off road na hiyo Tiguan nishawai kuindesha kwenye njia korofi although haikuwa yangu. Nakubaliana na wewe hapo kwenye boot space kweli forester ina boot space kubwa😂.
 
Tiguan all day everyday,ninayo mwaka wa 2 sasa naitumia sana offroad (90% ya matumizi yangu) kulingana na mazingira nilipo(mkoa wa rukwa) na hainiletei shida,japo huku niliko spare zote naagiza dar.
 
Bro wewe ndio unaongea kwa hisia plus hear say za vijíweni na ndio shida kubwa ya sisi wabongo. Forester haina inachomshinda Tiguan when it comes to off roading, practically hyo forester nishawai kuwa nayo na nishaindesha off road na hiyo Tiguan nishawai kuindesha kwenye njia korofi although haikuwa yangu. Nakubaliana na wewe hapo kwenye boot space kweli forester ina boot space kubwa[emoji23].

Aisee, Hear say za vijiweni..[emoji23]
So ni wewe tu ndo umeendesha subaru na VW, ni wewe tu ndo unazijua na kuziendesha, na una haki ya kuzisemea, kwa sababu sisi wengine, tena usiotujua tuna story za vijiweni na hatujui kitu.
So you think mawazo ya wengine, tena kwa vigezo si bora kuliko yako ya jumla jumla kwamba tiguan imeizidi forester kila kitu (bila hata kujali vigezo vya mtoa mada).
Labda mtoa mada atakuwa kakuelewa, na kama ndivyo inatosha.
 
Aisee, Hear say za vijiweni..[emoji23]
So ni wewe tu ndo umeendesha subaru na VW, ni wewe tu ndo unazijua na kuziendesha, na una haki ya kuzisemea, kwa sababu sisi wengine, tena usiotujua tuna story za vijiweni na hatujui kitu.
So you think mawazo ya wengine, tena kwa vigezo si bora kuliko yako ya jumla jumla kwamba tiguan imeizidi forester kila kitu (bila hata kujali vigezo vya mtoa mada).
Labda mtoa mada atakuwa kakuelewa, na kama ndivyo inatosha.
Kama hivi ndivyo ilivyo ulipata wapi guts za kukosoa mawazo yangu kwa kusema namdamganya mleta mada😀Nilichokisema/kuandika based on my experience kwa kuwa hizo gari zote tajwa nimeziendesha, kama na wewe umeziendesha zote na uka experience tofauti basi ungetoa tu maoni yako pasipo ku crush maoni yangu.
 
Usimdanganye mwenzio, mwambie ni maeneo tiguan inaizidi forester, ila si yote. Mfano tu kwenye suala la off-road ability, tiguan haiwezi kuifuata forester.
Reliability ni eneo jingine Subaru ni afadhali kuliko Tiguan.
Space ndani ya gari na boot, Forester ni zaidi
SUBARU tunasubiri Mwenezi atangaze Ni gari ya Taifa
 
Kama hivi ndivyo ilivyo ulipata wapi guts za kukosoa mawazo yangu kwa kusema namdamganya mleta mada[emoji3]Nilichokisema/kuandika based on my experience kwa kuwa hizo gari zote tajwa nimeziendesha, kama na wewe umeziendesha zote na uka experience tofauti basi ungetoa tu maoni yako pasipo ku crush maoni yangu.

Nilicrush maoni ya kwenye eneo moja tu, kwamba VW inaizidi Forester kila kitu, which is a not lie (kama nikijirekebisha), but NOT CORRECT. Nikatoa mfano wa baadhi ya maeneo ambayo hata kabla ya kujibu hoja za mtoa mada, forester ina afadhali kuliko VW.
Na kwa kujibu hoja sasa, nakazia kwamba kauli yako ni ya hisia kwa sababu hata hukuaddress vigezo vya mtoa mada ambavyo ni mazingira yetu, upatikanaji wa mafundi na kipato. Kwa vigezo hivi na uhalisia wa bongo sioni kwa nini VW inamfaa mtoa mada ukilinganisha na Forester.
 
Which is Right for Me? The 2022 Volkswagen Tiguan may appeal to those who need occasional third-row seating or who prefer more conventional styling. The 2022 Subaru Forester offers greater ground clearance and more serious off-road ability but has a bit less total passenger space.
 
Both car choices offer a seven seat layout, although the Kluger, which is 165mm longer, 63mm wider and five millimetres higher is a more comfortable seven seater. It also provides better leg, shoulder and headroom than the Vanguard.
BALENSIAGA
 
Nilicrush maoni ya kwenye eneo moja tu, kwamba VW inaizidi Forester kila kitu, which is a not lie (kama nikijirekebisha), but NOT CORRECT. Nikatoa mfano wa baadhi ya maeneo ambayo hata kabla ya kujibu hoja za mtoa mada, forester ina afadhali kuliko VW.
Na kwa kujibu hoja sasa, nakazia kwamba kauli yako ni ya hisia kwa sababu hata hukuaddress vigezo vya mtoa mada ambavyo ni mazingira yetu, upatikanaji wa mafundi na kipato. Kwa vigezo hivi na uhalisia wa bongo sioni kwa nini VW inamfaa mtoa mada ukilinganisha na Forester.
Maoni yangu ni jumuishi kwa vigezo vyote ambavyo mleta mada amevianisha na ata vile ambavyo hajaviainisha kwa maana sijaona ubora wa Forester dhidi ya Tiguan(Maoni yangu) sasa kama wewe uliona Forester ina uafadhari ktk hayo maeneo itoshe kusema hayo ni maoni yako(based on your experience)na sikupingi.
 
Back
Top Bottom