Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saw vp ushawahi kufanya nao kaziHakuna zaidi ya mfalme wa bahari na ni huyo Silent Ocean
Nnachotaka kujua ni kuwa inshu zote za bandarini wanasimamia wao na mzigo wa looser cargo unachukua siku ngapi hadi kugika Tz na Kama utakuwa na ya kuongezea sawaSilent ocean. Niko na experience yao zaidi ya mara moja wewe sema unachotaka kujua kisha kupitia uzi wako watu wakupe hayo unayoyataka
Ishu zote wao, mzigo wako ni mwezi mmoja ila usisahau kuna clearing inafanyika mizigo yote ikija bongo kwaiyo na hapa weka siku kadhaaNnachotaka kujua ni kuwa inshu zote za bandarini wanasimamia wao na mzigo wa looser cargo unachukua siku ngapi hadi kugika Tz na Kama utakuwa na ya kuongezea sawa
Kwa meli nenda na silent oceanJamani kwa wale wajasiliamali na wapambanaji hasa wanaoaguza mizigo kutoka china kuja Tanzania ni kampuni ipi ni nzuri kusafilishia mizigo kwa njia ya ndege na bahari.
Wawe waaminifu
Ahsante mkuuNdege watumie yoonek(unique) cargo waponfasta sana wale na meli nenda sioent ocean hao wako fasta huko
Hahahaha saw kakaSubiri matajiri waje
Mi bado natafuta hela ya bando
Aaaaaah shukran kakaIshu zote wao, mzigo wako ni mwezi mmoja ila usisahau kuna clearing inafanyika mizigo yote ikija bongo kwaiyo na hapa weka siku kadhaa
Weka mawasiliano yaoSilent ocean. Niko na experience yao zaidi ya mara moja wewe sema unachotaka kujua kisha kupitia uzi wako watu wakupe hayo unayoyataka
+255 746 333 333 WhatsApp yaoWeka mawasiliano yao