mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 630
- 2,151
Nikiwa kijana mdogo kabisa , 30 August 2013 pale Fortuna Arena Czech republic, ilipigwa mechi Kali ya UEFA super cup ,ambayo kwangu ndio mechi Bora ya soka kuwahi kuishuhudia maishani mpaka sasa.
Hii ilikuwa ni baina ya wazee wa BMW , the Bavarian, Fc Bayern munchen dhidi ya wahuni wa London Chelsea FC .
Timu zote mbili zilikuwa katika form ya kutisha sana, Bayern ikiwa chin Pep guardiola Tiktak master , walikuwa wametoka kufungwa na Chelsea msimu mmoja nyuma katika fainal ya UEFA champions league kwa mikwaju ya penalties!.
Huku Chelsea wakiwa chin ya king of low block Jose Mourinho aliyekuwa amerejea klabuni kutoka Real Madrid.
Wakati mchezo ukiwa 2-1 huku Chelsea akiwa anaongoza katika extra time , ndipo pep guardiola anaesifika kwa kusimamia misingi yake ya Tiktak aliamua kuachana nayo na kuamua kuwaruhusu frenck ribery aliyekuwa man of the match , na Arjen Robben watembee wanavyotaka kuelekea golini kwa Chelsea.
Hakika sijawahi kuona Tena maishani mwangu winga za mpira zikitembea kama mafuriko ya maji kama hiyo siku. Ndipo mtangazaji maarufu Peter Drury alisikika akisema "I don’t know how much more of this Chelsea can take! They’re a strong side, no doubt, but right now, they’re hanging on for dear life against this relentless Bayern machine! It’s wave after wave of pure footballing power—how long can they survive this torture?!".
Haikupita muda mrefu Bayern wakasawazisha bao dk 121 na baadae kwenda kushinda kwa penati
Hii ilikuwa ni baina ya wazee wa BMW , the Bavarian, Fc Bayern munchen dhidi ya wahuni wa London Chelsea FC .
Timu zote mbili zilikuwa katika form ya kutisha sana, Bayern ikiwa chin Pep guardiola Tiktak master , walikuwa wametoka kufungwa na Chelsea msimu mmoja nyuma katika fainal ya UEFA champions league kwa mikwaju ya penalties!.
Huku Chelsea wakiwa chin ya king of low block Jose Mourinho aliyekuwa amerejea klabuni kutoka Real Madrid.
Wakati mchezo ukiwa 2-1 huku Chelsea akiwa anaongoza katika extra time , ndipo pep guardiola anaesifika kwa kusimamia misingi yake ya Tiktak aliamua kuachana nayo na kuamua kuwaruhusu frenck ribery aliyekuwa man of the match , na Arjen Robben watembee wanavyotaka kuelekea golini kwa Chelsea.
Hakika sijawahi kuona Tena maishani mwangu winga za mpira zikitembea kama mafuriko ya maji kama hiyo siku. Ndipo mtangazaji maarufu Peter Drury alisikika akisema "I don’t know how much more of this Chelsea can take! They’re a strong side, no doubt, but right now, they’re hanging on for dear life against this relentless Bayern machine! It’s wave after wave of pure footballing power—how long can they survive this torture?!".
Haikupita muda mrefu Bayern wakasawazisha bao dk 121 na baadae kwenda kushinda kwa penati