1. Fainali ya UEFA Champions League kati ya Manchester United na Bayern Munich iliyochezwa kwenye Dimba la Camp Nou huko Barcelona, Uhispania, tarehe 26 Mei 1999, Mabao ya dakika za majeruhi kutoka kwa Teddy Sheringham na Ole Gunnar Solskjær yalifutilia mbali bao la mapema la Mario Basler na kuipa Manchester United ushindi wa 2-1 na kunyakuwa Ubingwa.
2. Yanga kuibamiza CR Belouizdad kwa mabao 4-0 na kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya kwanza. Jumamosi, Februari 24, 2024 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa ,Dar es salaam,Tanzania.
Magoli ya Yanga yakifungwa na Mudathir Yahya 43'',Stephane Aziz Ki 46'',Kenedy Musonda 48"' na Joseph Gwede 84''