Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kichwa cha habari apo kinavyoeleza naombeni ushauri wenu. Nimetembelea mitandao kama Alibaba naona bei zao ni nafuu sana tofauti na bei ya hapa Tanzania.Nini kinafanya watu wakwepe kununua huko na waendelee kununua zinazouzwa na makampuni ya huku kwetu.
Otherwise ni bora bei zingepishana kidogo lkn naona gape kubwa sana ata kama ni gharama za usafirishaji zikiongezwa bado price ya kwetu ipo juu zaidi. Why ?
Mfn; hizi hapa chini
![]()
![]()
![]()
Hapana mkuu sikufanikiwaMkuu Daviie habari, Je ulifanikiwa kuagiza bajaji tajwa hapo juu. naomba uzoefu wako. KUAGIZA BAJAJI KUTOKA NJE YA NCHI
Ahsante