Wadau hebu tusaidiane kutoana tongotongo. Wengi wetu tumesomea udereva lakini si kila kitu kuhusu gari na matumizi sahihi tunayafahamu. Basi Leo naomba tupeane hints hapa za jinsi ya kupark kiusahihi gari yako hasa hizi za Automatic.
Mimi hufanya hivi siku zote.
Mguu kwenye brake mpaka gari itaposimama kabisa, then Neutral, then na apply Hand-brake, then Parking.
Je, hii ni njia sahihi? Tupeane madini zaidi wakuu
Mimi hufanya hivi siku zote.
Mguu kwenye brake mpaka gari itaposimama kabisa, then Neutral, then na apply Hand-brake, then Parking.
Je, hii ni njia sahihi? Tupeane madini zaidi wakuu