Ipi ni njia sahihi ya kupaki Gari kwa usalama wa Gear Box

Ipi ni njia sahihi ya kupaki Gari kwa usalama wa Gear Box

mzizi1

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2017
Posts
265
Reaction score
703
Wadau hebu tusaidiane kutoana tongotongo. Wengi wetu tumesomea udereva lakini si kila kitu kuhusu gari na matumizi sahihi tunayafahamu. Basi Leo naomba tupeane hints hapa za jinsi ya kupark kiusahihi gari yako hasa hizi za Automatic.

Mimi hufanya hivi siku zote.

Mguu kwenye brake mpaka gari itaposimama kabisa, then Neutral, then na apply Hand-brake, then Parking.

Je, hii ni njia sahihi? Tupeane madini zaidi wakuu
 
Wadau hebu tusaidiane kutoana tongotongo. Wengi wetu tumesomea udereva lakini si kila kitu kuhusu gari na matumizi sahihi tunayafahamu. Basi Leo naomba tupeane hints hapa za jinsi ya kupark kiusahihi gari yako hasa hizi za Automatic.

Mimi hufanya hivi siku zote.

Mguu kwenye brake mpaka gari itaposimama kabisa, then Neutral, then na apply Hand-brake, then Parking.

Je, hii ni njia sahihi? Tupeane madini zaidi wakuu
Sahihi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante mkuu wa kambi
for automatic transmission cars.
First of all, after the car stops, put it into end gear and then pull up the handbrake. so that the force point of the car is on the handbrake. Then release the foot brake directly, push the gear into P gear.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Wadau hebu tusaidiane kutoana tongotongo. Wengi wetu tumesomea udereva lakini si kila kitu kuhusu gari na matumizi sahihi tunayafahamu. Basi Leo naomba tupeane hints hapa za jinsi ya kupark kiusahihi gari yako hasa hizi za Automatic.

Mimi hufanya hivi siku zote.

Mguu kwenye brake mpaka gari itaposimama kabisa, then Neutral, then na apply Hand-brake, then Parking.

Je, hii ni njia sahihi? Tupeane madini zaidi wakuu
 
Naomba unichanganulie hapa,vipi wakati wa kutaka kuondoka napo inakuwaje,ina maana utapaswa ukanyage brake,then uweke gear kwenye neutral then uachie handbrake au utaondoka kama kawaida?-Hapa nazungumzia kwa gari iliopaki kwenye kilima pua inaangalia bondeni...
 
Naomba unichanganulie hapa,vipi wakati wa kutaka kuondoka napo inakuwaje,ina maana utapaswa ukanyage brake,then uweke gear kwenye neutral then uachie handbrake au utaondoka kama kawaida?-Hapa nazungumzia kwa gari iliopaki kwenye kilima pua inaangalia bondeni...
Na mm pia nasubilia muongozo wa hili swali
 
Na mm pia nasubilia muongozo wa hili swali
Sina gari lakini nakujibu.
Kama unatoa gari kanyaga brake pedal, toa handbrake, weka drive gear or reverse gear kulingana na uelekeo wako then release brake pedal slowly sepa zako.
December nikivuta NDINGA yangu takuwa nishakuwa na abc za safe driving.
 
for automatic transmission cars.
First of all, after the car stops, put it into end gear and then pull up the handbrake. so that the force point of the car is on the handbrake. Then release the foot brake directly, push the gear into P gear.

Sent using Jamii Forums mobile app
Je anayekanyaga Brake mpk gar ikasimama kisha akaweka PArking gear then handbreak.
Je atakuwa sawa au kakosea mpk aanze na handbreak?
 
Sina gari lakini nakujibu.
Kama unatoa gari kanyaga brake pedal, toa handbrake, weka drive gear or reverse gear kulingana na uelekeo wako then release brake pedal slowly sepa zako.
December nikivuta NDINGA yangu takuwa nishakuwa na abc za safe driving.
Mungu azibariki kazi za mikono yako na December uoate chuma ya kukufaa mkuu.
 
Mimi naongezea kidogo elimu nyingine juu ya matumizi ya Neutral na parking kwenye foleni.
Unakuta dereva anatumia parking kwenye badala ya neutral na kuvuta end brake Kwa kufanya hivi unaichosha Sana gear box pamoja na clutch plate...wataalamu wa magari wanapendekeza kutumia neutral na end brake tu
 
Back
Top Bottom