nitatoboa kweli
Senior Member
- Jul 15, 2023
- 137
- 454
mnaongelea magari yakike sio?☹️😕Sisi wa manyu tukutane pale tuelekezane Jinsi yakudrive garizetu zile kwenye foleni halafu uwe leña
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Logic ya kupause kwenye neutral ni ipi?Wadau hebu tusaidiane kutoana tongotongo. Wengi wetu tumesomea udereva lakini si kila kitu kuhusu gari na matumizi sahihi tunayafahamu. Basi Leo naomba tupeane hints hapa za jinsi ya kupark kiusahihi gari yako hasa hizi za Automatic.
Mimi hufanya hivi siku zote.
Mguu kwenye brake mpaka gari itaposimama kabisa, then Neutral, then na apply Hand-brake, then Parking.
Je, hii ni njia sahihi? Tupeane madini zaidi wakuu
Hiyo mnayoita hand brake au parking brake haina uhusiano na gearbox kabisa.Je anayekanyaga Brake mpk gar ikasimama kisha akaweka PArking gear then handbreak.
Je atakuwa sawa au kakosea mpk aanze na handbreak?
Ukipaki gari tambale siyo lazima kuweka parking brake sababu hakuna uzito wowote utakao kuwa kwenye parking pawl.Sio sahihi kwasababu the force point ya gari yako inatakiwa iwe kwenye parking brake na sio parking gear.
Asante kwa darasa mkuu, nimejifunza kitu hapaUkipaki gari tambale siyo lazima kuweka parking brake sababu hakuna uzito wowote utakao kuwa kwenye parking pawl.
Halafu hako kachuma(parking pawl) msikachukulie poa, kuna magari mtu anakosa brake(japo ni katika mwendo mdogo anatia parking na gari inasimama na hakakatiki.
Tujadili namna ya kubalance clutch na mafuta wakati chuma inanyanyukia mlimani 😄mnaongelea magari yakike sio?☹️😕Sisi wa manyu tukutane pale tuelekezane Jinsi yakudrive garizetu zile kwenye foleni halafu uwe leña
Washa weka D au gear #1 halafu ndo ushushe handbrake.Naomba unichanganulie hapa,vipi wakati wa kutaka kuondoka napo inakuwaje,ina maana utapaswa ukanyage brake,then uweke gear kwenye neutral then uachie handbrake au utaondoka kama kawaida?-Hapa nazungumzia kwa gari iliopaki kwenye kilima pua inaangalia bondeni...