Ipi ni sehemu muafaka ya kukutana na mume/mke



hapo inategemea na wewe upoje na huyo partner wako yukoje, yaani kifani zaidi, kama ni mpenda disco mtakutana disco, kama ni mlevi mtakutana baa, kama ni cha Mungu mtakutana kanisani/msikitini.
 
Hi JF members,

Sehemu nzuri ya kukutana na mke/mume ni popote pale. Mke/Mume anatoka kwa Mungu. Hivyo kwa kuwa suala la mke/mume ni mpango wa mwenyezi MUNGU, Mungu anaweza kuwakutanisha popte pale mfano katika Bustani!
 
Hi JF members,

Sehemu nzuri ya kukutana na mke/mume ni popote pale. Mke/Mume anatoka kwa Mungu. Hivyo kwa kuwa suala la mke/mume ni mpango wa mwenyezi MUNGU, Mungu anaweza kuwakutanisha popte pale mfano katika Bustani!
Mh wengine tunaishi maeneo yasiyo na bustani zaidi ya zile zilizoko majumbani kwetu, sasa hapo inakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…