Mmh hivo ndivo niliandika? Wapi? Au umegeuza maandishi? Soma vizuri tena.Mie siwezi kukaa muda wote huo. Wewe umesema tangu mwaka mpya hadi hii leo hujapata haki yako. Kwanini inakuwa hivi lakini Best? 😜😜😜
Mmh hivo ndivo niliandika? Wapi? Au umegeuza maandishi? Soma vizuri tena.
Hamna sehemu nimeandika hivo bana please!Rudi juu kwenye post number 81 best. 😜😜
Hamna sehemu nimeandika hivo bana please!
Dili linakuja ukiwa nacho!Nipe deal mkuu nisiwe tegemezi, Ukinigawia leo kesho ntagawiwa na nani?[emoji3]
Kwahiyo kwa sisi tusio nacho! Haturuhusiwi kupewa madeals mkuu?
Nadhani, maana wanasema asiekua nacho hunyang'anywa mpaka kidogo alicho nacho!Kwahiyo kwa sisi tusio nacho! Haturuhusiwi kupewa madeals mkuu?
Sawa mkuu! Basi ntakuchekiNadhani, maana wanasema asiekua nacho hunyang'anywa mpaka kidogo alicho nacho!
Ndio maana nataka kukuongezea[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba now days mambo byeee tu au sio?Wokovu wa siku hizi mbona fresh tu kaka cha msingi nifundishwe piano tu
wokovu wa siku hizi ni mwendo wa kuslay tu yaani hata nilivyo ni mlokole tosha 😁😁. Deal doneKwamba now days mambo byeee tu au sio?
Kabla ya kusali natubu kwanza. Mim ni binadamu sijakamilika.Sio kuomba saa 9 usiku kama kawaida yako?
Kilo unamaliza mkuu? Hii ni hatari kwa afya mkuu...Kitimoto kilo moja kwa bia mbili
Cha Arusha...Gomba, Marijuana
OBE
Yahe!! Twaruhusiwa kutaja vyote...
Vyema mkuuKabla ya kusali natubu kwanza. Mim ni binadamu sijakamilika.
He he nitarudi