Ipi ni zaidi kwako familia unayotokea Vs familia Yao

Ipi ni zaidi kwako familia unayotokea Vs familia Yao

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Wote tunafamilia tumetokea na wengi tumeunda familia zetu , swali wewe ipi familia yenye kipaumbele kwako inapotokea mgongano wa mambo, hili nauliza kisa rafiki yangu anadai yupo tayari kuvunja ndoa na mke wake kisa mama yake na watoto wa mdogo wake ,ni stori ndefu sana kuisimulia ila kwa mgogoro ulipofika jamaa anatakiwa kuamua abaki na mama au abaki na mke , kubaki na mama anakuwa safe kwenye familia yake, ila watoto wanapoteza haki ya kulelewa na wazazi wote kwa pamoja
 
Wote tunafamilia tumetokea na wengi tumeunda familia zetu , swali wewe ipi familia yenye kipaumbele kwako inapotokea mgongano wa mambo, hili nauliza kisa rafiki yangu anadai yupo tayari kuvunja ndoa na mke wake kisa mama yake na watoto wa mdogo wake ,ni stori ndefu sana kuisimulia ila kwa mgogoro ulipofika jamaa anatakiwa kuamua abaki na mama au abaki na mke , kubaki na mama anakuwa safe kwenye familia yake, ila watoto wanapoteza haki ya kulelewa na wazazi wote kwa pamoja
Abaki na mke wake ,mama ataendelea kuwa mama hadi Kifo hakuna mbadala!
 
Wote tunafamilia tumetokea na wengi tumeunda familia zetu , swali wewe ipi familia yenye kipaumbele kwako inapotokea mgongano wa mambo, hili nauliza kisa rafiki yangu anadai yupo tayari kuvunja ndoa na mke wake kisa mama yake na watoto wa mdogo wake ,ni stori ndefu sana kuisimulia ila kwa mgogoro ulipofika jamaa anatakiwa kuamua abaki na mama au abaki na mke , kubaki na mama anakuwa safe kwenye familia yake, ila watoto wanapoteza haki ya kulelewa na wazazi wote kwa pamoja
Mke wako siyo ndugu yako, watoto wako ndio ndugu zako, vijana wa sasa hamna akili kichwani.

Biblia inasema mume atamuacha baba yake na mama yake ataambatana na mke wake nao watakuwa mwili mmoja.

Lakini unapaswa kuelewa kuna amri 10 za Mungu, amri ya tatu inasema waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heri duniani.

Akili kichwani kwako.
 
Wote tunafamilia tumetokea na wengi tumeunda familia zetu , swali wewe ipi familia yenye kipaumbele kwako inapotokea mgongano wa mambo, hili nauliza kisa rafiki yangu anadai yupo tayari kuvunja ndoa na mke wake kisa mama yake na watoto wa mdogo wake ,ni stori ndefu sana kuisimulia ila kwa mgogoro ulipofika jamaa anatakiwa kuamua abaki na mama au abaki na mke , kubaki na mama anakuwa safe kwenye familia yake, ila watoto wanapoteza haki ya kulelewa na wazazi wote kwa pamoja
Familia muhimu ni ile unayoijenga mwenyewe kwako na watoto wako, wazazi wako walishaishi ya kwao.

Ukikosea utavuna ulichopanda iwe kwenye kuoa/kuolewa au malezi ya watoto wako
 
Familia muhimu ni ile unayoijenga mwenyewe kwako na watoto wako, wazazi wako walishaishi ya kwao.

Ukikosea utavuna ulichopanda iwe kwenye kuoa/kuolewa au malezi ya watoto wako
Wabongo ni wagumu sana kuelewa somo hili muhimu.

Yani unakuta mtu yupo kwenye ndoa, ana mke na watoto, halafu akifikiria "familia yangu" anafikiria baba yake na mama yake.

Ni utoto fulani usioisha.
 
Mama first,kwanza mke anaweza kugongwa nje alaafu akaambiwa mtukane mmeo na akatoa matusi ya ajabu sana nishawahi kula mke wa mtu nikamjaribu mtukane mmeo aiseeeeee alitoa matusi yule dada wa kichanga......

Mama na watoto wako na ndugu zako ni bora kuliko Hawa mabinti wa kizaz hiki......
 
Wabongo ni wagumu sana kuelewa somo hili muhimu.

Yani unakuta mtu yupo kwenye ndoa, ana mke na watoto, halafu akifikiria "familia yangu" anafikiria baba yake na mama yake.

Ni utoto fulani usioisha.
Utadhani huyo mtu alimuoa au kuolewa nae ni adui kwake
 
Utadhani huyo mtu alimuoa au kuolewa nae ni adui kwake
Nilichogundua ni kwamba jamii ya Kitanzania, ingawa si watu wote, lak8ni sehemu kubwa sana ina utamaduni wa kuwindana sana.

Viongozi wa serikali wanawawinda wananchi, wananchi wanawawinda viongozi. Wakubwa wanawawinda wadogo, wadogo wanawawinda wakubwa. Mume anamuwinda mke, mke anamuwinda mume.

Ndiyo maana kuendelea ni vigumu sana.

Kusikia mke au mume kajenga nyumba kwa siri bila kumtaarifu mume au mke wake si kitu cha ajabu Tanzania.

Kusikia mume anachepuka ni kama kawaida.

Kusikia mke ana mtoto na baba tofauti na mmewe bila mmewe kujua si jambo la ajabu Tanzania.

Jamii haina kuaminiana kabisa.
 
Back
Top Bottom