Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 442
- 1,655
Kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano. Ila kwa sasa sina hisia naye kabisa, natafuta njia nzuri ya kumpiga chini.
Je, nimchane simtaki au nimpotezee kimya kimya, maana anatuma tuma ujumbe kila muda hadi kero?
Wajuvi ipi njia nzuri na ya amani ya kumpiga chini?
Je, nimchane simtaki au nimpotezee kimya kimya, maana anatuma tuma ujumbe kila muda hadi kero?
Wajuvi ipi njia nzuri na ya amani ya kumpiga chini?