Generetaion Z
JF-Expert Member
- Oct 2, 2022
- 343
- 874
Tuliachana nikapiga kimya nae akapiga kimya ila tumerudiana ila yupo na mtu wake akikumbuka show achomoi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulijisikiajee mliachana ama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliachana nikapiga kimya nae akapiga kimya ila tumerudiana ila yupo na mtu wake akikumbuka show achomoi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulijisikiajee mliachana ama
Tuliachana nikapiga kimya nae akapiga kimya ila tumerudiana ila yupo na mtu wake akikumbuka show achomoi
[emoji23]Kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano. Ila kwa sasa sina hisia naye kabisa, natafuta njia nzuri ya kumpiga chini.
Je, nimchane simtaki au nimpotezee kimya kimya, maana anatuma tuma ujumbe kila muda hadi kero?
Wajuvi ipi njia nzuri na ya amani ya kumpiga chini?
Wewe bado unampenda acha kutuzuga hapa kwani umeambiwa ukimpa hiyo namba jamaa ataenda kumtangazia wewe ndiye ulompa hiyo no?Kosa la jinai kutoa namba ya mtu bila ridhaa yake
Nami ndo nilipenda upande wa show maana alileta za kuniweka wa kila kitu nikambadilikia[emoji23][emoji23][emoji23] anakutumia ndio maana hakukujibu… amekuweka akiba kuna wa show wa kumpa hela na future husband
🤦Mpe ela
Nasema mpe ela
This case is closed
Nmekuja kuona njia mnazotumia kuwaacha dada zanguUmefata nini huku dogo🤣🤣
Umefata nini huku dogo🤣🤣
Yan Uko kama mimiHiyo ya kumwambia ukweli huwa muda mwingine haileti matokeo chanya coz kuna huyu wangu nlimwambia zaidi ya mara moja tuachane ila hajawahi kuelewa sijui hata nifanyaje??..na jana tu kaniomba hela huwezi amini nimempa coz alikuwa na shida nayo sana naona huruma huwa inaniponza mara nyingi sanaaa.
Mwombe jichoKuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano. Ila kwa sasa sina hisia naye kabisa, natafuta njia nzuri ya kumpiga chini.
Je, nimchane simtaki au nimpotezee kimya kimya, maana anatuma tuma ujumbe kila muda hadi kero?
Wajuvi ipi njia nzuri na ya amani ya kumpiga chini?