Kalenda& condom, are the best ways, kulko hizo njia zingine ambazo madhara yake madactari uchwara hawataki kuwambien
Mimba nyingi kuharibika, utasa, utungwaji wa mimba nje ya kizazi, watoto kuzaliwa wagonjwa ama wasio na akili timamu, yote hayo ni matokeo ya matumizi ya hizo njia ambazo si sahihi kwa kuzuia mimba.