Ipi njia nzuri ya kufanya 'stock' dukani kwa mfanyakazi?

Ipi njia nzuri ya kufanya 'stock' dukani kwa mfanyakazi?

njengere

Member
Joined
Nov 10, 2017
Posts
23
Reaction score
11
Habiri wana jamii

Je ni ipi njia nzuri ya kukufanya stoko dukani na njia rahisi maana kuna njia moja ninayo tumia ya kutumia daftari kilicho toka na kilicho ingia na kubaki imenishinda mimi kama mfanyakazi.
 
Mkuu,njia rahisi ni kuwa na mfumo wa Computer ambao unaingiza Openning iinventory yako,Kisha unakuwa unaupdate kila ikifika 25%Yaani mfanyakazi anaendelea kutumia daftari na wewe unachukua rekodi za daftari unaingiza kwenye program.

Kisha kwenye Program Unakuwa ua update kila inventorry yako inapofika 10% au 25% a ili isivuke hapo kwani unaweza kuibiwa bila kujua.Ila vile bdhaa ambazo zinaenda kwa fasta basi Unaweza kuwa unafanya update kila siku.

Kama uko interested ni PM aina ya biashara yako na ninaweza kukusaidia kufanya hio kazi remotely na kwa urahisi na unafuu.Nitakupatia Sales report na utakuwa na access yako online.

Karibu
 
Unahitaji kuwa na mfumo wa kusimamia mauzo ambao ni rahisi kuutumia na unakurahisishia maisha, kama wanavyofanya supermarket.

Kwa wenye mahitaji ya aina hii wanicheck inbox.
 
Mkuu,njia rahisi ni kuwa na mfumo wa Computer ambao unaingiza Openning iinventory yako,Kisha unakuwa unaupdate kila ikifika 25%Yaani mfanyakazi anaendelea kutumia daftari na wewe unachukua rekodi za daftari unaingiza kwenye program.

Kisha kwenye Program Unakuwa ua update kila inventorry yako inapofika 10% au 25% a ili isivuke hapo kwani unaweza kuibiwa bila kujua.Ila vile bdhaa ambazo zinaenda kwa fasta basi Unaweza kuwa unafanya update kila siku.

Kama uko interested ni PM aina ya biashara yako na ninaweza kukusaidia kufanya hio kazi remotely na kwa urahisi na unafuu.Nitakupatia Sales report na utakuwa na access yako online.

Karibu
MKuu, salaam. Naweza kupata mawasiliano yako?
Manyerere
0735 133332
 
Back
Top Bottom