John Shasha
Member
- Sep 19, 2022
- 6
- 7
Inawezekana crown ambayo Haina sun roof kuiwekea sun roof?Kama huna gari nyingine mkuu chukua crown
Unachelewa sana karibu kene chama,
Huku ni sherehe tu safari popote[emoji28]
Crown Utapata kila kitu kene sedan
Crown 2008 vs C -Class 2008
Budget inakuruhusu vizuri na una gari nyingine za back up yes go for Mercedes upate radha ya kijerumani
me nishafanya uchaguzi almost 90% nmechagua grs 200 ya 2010..naomba kujua tu fuel consumption yake..me s mtu wa fujo..naendesha km mzee tu..nina crown grs200 ya 2010, Aloo hii chuma ni levels unyama mwingi mnoo
Sidhani kama kuna utofauti mkubwa kwenye fuel consumptionme nishafanya uchaguzi almost 90% nmechagua grs 200 ya 2010..naomba kujua tu fuel consumption yake..me s mtu wa fujo..naendesha km mzee tu..
Itakuchukua kama miaka10 kununua gari ya 18m na wakati huo buku5 siyo ela tena, ni kachenjiNgoja tuchukue nondo kisha nikanunue kibubu nianze weka buku 5 tano
Itakuchukua kama miaka10 kununua gari ya 18m na wakati huo buku5 siyo ela tena, ni kachenjiNgoja tuchukue nondo kisha nikanunue kibubu nianze weka buku 5 tano
GAri za 2003 beforward na ndugu zake hadi muda huu wanauzaI
Itakuchukua kama miaka10 kununua gari ya 18m na wakati huo buku5 siyo ela tena, ni kachenji
nina crown grs200 ya 2010, Aloo hii chuma ni levels unyama mwingi mnoo
Crown grs 200 ni gari kuliko hio benz in terms of power na kila kitu.Habari wakuu,
Wenye uzoefu na hizo gari mbili ipi iko vizuri?
hapo umeongea crown ina heshima yakeCrown compare na E class
Hio C compare na mark x
Ni Tanzania pekee unakuta Mercedes Benz inafananishwa na gari nyingine...Ugali ulitudumaza sana.
Mercedes Benz ni moja ya gari bora sana sijazungumzia uzungu wala ujapani hapo...Hii generalisation haina msaada. Haimaanishi kwamba gari zote alizotengeneza mzungu ni better kuliko za mjapani. Kuna baadhi ya gari ambazo ni japanese na ziko poa.