Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ungefananisha oppo na huawei au xiaomi.Wadau naomba mnijuze,je ni simu gani hapo ina ubora zaidi kati ya simu tajwa hapo juu.
OppoWadau naomba mnijuze,je ni simu gani hapo ina ubora zaidi kati ya simu tajwa hapo juu.
Hawa itabd tuanzishe kampen labda[emoji3]Hawa jamaa wa infiniix, tecno, itel, kgtel, X-Tigi & co. Sijui tuwaambie vipi watuelewe[emoji53][emoji53][emoji53]
Yani from no where mtu anaanza linganisha OPPO na Infinix .Hawa itabd tuanzishe kampen labda[emoji3]
Philipo D. Ruzige sasa inategemea unahitaji simu ya level gani. Hizi simu ni entry level, siyo mid range au higher level phones. Kwa intended level inafaa sana.Hawa jamaa wa infiniix, tecno, itel, kgtel, X-Tigi & co. Sijui tuwaambie vipi watuelewe[emoji53][emoji53][emoji53]
OPPO ya sasa sio ya kulinganisha na infinix. Infinix wenzake ni tecno na itel, zoma, Oxo, na masimu mengine ya kipuuzi huko uchochoroni.Wadau naomba mnijuze,
Je, ni simu gani hapo ina ubora zaidi kati ya simu tajwa hapo juu.