Ipi nzuri kati ya Infinix na Oppo ya Mchina?

Redmi 7a inalingana uwezo na simu zenye helio p23 kma Infinix Note 6. Sheria ya kununua simu ya Xiaomi sikuhz ni kwamba lazima iwe na USB C. Simu yoyote ya xiaomi isiyokua na usb C achana nayo kwasababu ndio zenye uwezo mdogo. Hayo ma snapdragon 439 achana nayo kabisha ni sawa na mtk za bei rahisi tu.

Simu pekee ya Infinix niliyotumia ikawa inaeleweka kdgo ilikua ni Infinix Note 5 yenye Android one kma Nokia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Xiaomi ya laki 3 ni redmi 9 (bila A) ina helio G80 yenye nguvu ya kutosha tu kushinda almost simu zote za hio budget.
Hawa chifu watakuja kusema ata ata ile dimensity 1000 iliotumika kwenye k30 ultra ni dhaifu kuliko soc ya Tekno pop 2 , unapoona xiaomi hatumii nguvu kuuza product zake na bado zinatoka kuliko wenzake elewa kua yuko vizur habahatishi abadani.
 
Nilinunua nikauza ndani ya wiki 1.
ina stack balaa.
kuna watu wana hizo simu hawana tatizo nazo, my friends... soma hiyo unipe jibu
Infinix Smart 4 is a very good phone in its class; Entry-level. I don't understand why are people in here complaining! But I noticed that it's because most of them are dealing with the phone as if it was a mid-range phone or higher! Guys, it's an entry-level phone for God's sake. It has 1GB of ram and a very decent CPU. And above that, it features Android 9 Go Edition, which is the most strict Android version in RAM management ever. Meaning, you can't multi-task or even have more than 2 or 3 apps in the background. This is not the phone's fault, it's the OS's.

This phone is designed for simple work: Taking calls, listening to Music and local broadcast, reading the news, setting up alarms, a bit of social media, a bit of YouTube and some lite casual gaming (like bursting balls and card games). That's it. I previously had a powerful phone. I gave it to my son and purchased this because I realized that I'm too old to play heavy games or take advantage of a powerful phone. It's like a waste. I have been using this phone for a month and it's doing very well with no issues at all. The display is very good. The signal is very good. Speakers? good? Wi-fi reception? Good. GPS Navigation? Good. What more do I want from it?!
 
Huna akili sd 450 nadhan ndio ilingane na hio umewahi katumia ka ka simu? Kalizikalisha simu zote zenye bei sawa na 7a kwenye price range kuanzia 189elfu mpka 230 elfu
 
Kwa redmi 9c kuna Infinix Note 7 inayoizidi uwezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Xiaomi ya laki 3 ni redmi 9 (bila A) ina helio G80 yenye nguvu ya kutosha tu kushinda almost simu zote za hio budget.
Hzo zina afadhali. Zenye A ndio majanga. Kma 8a, 9a, 9c. Ila hata hzo kwenye software zinaeleweka kuliko Infinix ila siwezi nunua hzo simu alaf nikamtukana mwenye infinix or tecno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna akili sd 450 nadhan ndio ilingane na hio umewahi katumia ka ka simu? Kalizikalisha simu zote zenye bei sawa na 7a kwenye price range kuanzia 189elfu mpka 230 elfu
Sasa matusi ya nini ndugu. Redmi 7a si ina snapdragon 439 (hyo 450 inatoka wapi). Redmi 7a bei yake ilikua laki 4 na nusu mpk 5 (labda kma imeshuka sikuhz) bei sawa na Infinix note 7. Snapdragon 439 na Heli G70 ipi ina nguvu?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliibiwa sheikhe 7a haijawah kufika ata laki tatu ngoja nikupandishie ushahid wa moja nilinunua aliexpress mda kidogo
 
Hamna simu humo
 
huyu katoa reason with reference, sasa wewe unasema hamna simu humo... kweli mjingamimi wewe
Yeye katoa reason with reference.
Na Mimi nimejibu Kwa experience yangu jinsi nilivyotumia hyo simu.ndo najua tatizo lake.
Kwa hyo tunabishana?.
"Mind your head"
 
Vyote mzee
Anyways mm sioni kma hzo A or C series ni nzuri. Ni vyema ujichange tu uchukue 8 or 9 ya kawaida or Note series. Mwaka jana November nilimchukulia sister wangu Redmi Note 8 kwa 430,000. Ni simu bora sana kuliko hzo A na C kwa tofauti ndogo tu ya bei. Kwanza ni USB C, display ni 1080p, camera ni nzuri na ina glass back.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…