3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Kulingana na mada umejibu opukiwajua juujuu tu wasabato, unaweza dhani ni watakatifu sana, wana visa ya kuingia mbinguni moja kwa moja.
kaa nao kama wiki au mwezi, wanasengenyana hatari, hawapendani wao kwa wao halafu wanagombania vyeo kwenye makanisa yao utadhani wanasiasa.
nguvu kubwa wamewekeza ktk kuyakabili mafundisho ya kanisa katoliki. wanapandikizana hii sumu kutoka muumini mmoja mpaka mwingine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Amegusa penye kidonda.Mkuu mbona unaanza kuharibu uzi?
Wasabato ni waislamu zaidi kuliko wakristohuko mitandaoni ishakua kawaida kukutana na memes zikionyesha picha yenye mtu ananaekunywa maji mengi au soda kuwa ni msabato,
unaweza kutana na picha mtu anakunywa maji au soda nyingi yanaandikwa maneno "pale msabato anapoenda bar kuondoa stress"
Hii sifa waliyojizolea wasabato nini chanzo chake??
View attachment 2369709
Watakuja kusema wenyewe hapa ni kwa nini wanaiita coca cola ni haramukahawa ndio hawatumii maana ni kilevi, soda ina kilevi kipi??
Inaweza isiseme inaruhusu, lakini pia isiwe imekataza. Ni kama vile ambavyo haijakataza kula panya, haina maana kula panya ni dhambi kwa kuwa haijatamka kuruhusuUsisingizie biblia haija ruhusu pombe
Usisingizie biblia haija ruhusu pombe
Na Ile ya kupewa mademu 70!.. Hawa jamaa Kama pepo IPO watafaidiNadhani dini yao hairuhusu unywaji, wakatoliki tunaruhusiwa kunywa ila tusilewe, sasa ukishaonja ni vigumu kuji control, unajikuta umelewa , waislamu hawaruhusiwi ila Qur an inasema peponi kuna mito ya pombe. Sasa waislamu wanajiongeza kama mbinguni ipo kwanini hapa tusinywe.
We jamaa mchokozi sana!watu wapo kwa wasabato ila we unalenga kwingiine kabisa aisee!Ulevi ni very subjective mkuu. Kuna watu huwezi kuwaona wakila nguruwe kabisa, ila effect ya soko utaiona mwezi mtukufu.
Hivyo katika msafara wa mamba, lazima kenge wawepo tu, na dini haina jinsi ya kuwa-control.
Hii haina ukweli wowote. Hata maeneo ambayo hayana waislam au waislam ni wachache sana nao husema hivyo hivyo. Yani ni ka msemo ka kudhihaki dini fulani.Ulevi ni very subjective mkuu. Kuna watu huwezi kuwaona wakila nguruwe kabisa, ila effect ya soko utaiona mwezi mtukufu.
Hivyo katika msafara wa mamba, lazima kenge wawepo tu, na dini haina jinsi ya kuwa-control.