Ipi sahihi?

Ipi sahihi?

wamogori

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
888
Reaction score
339
Ipi ni sahihi?
1. Tanzania imepata uhuru 1961
2. Tanganyika imepata uhuru 1961
 
Ipi ni sahihi?
1. Tanzania imepata uhuru 1961
2. Tanganyika imepata uhuru 1961

vitabu vyetu vya uraia vinavyotumika kufundishia vimeeleza vipi kuhusu hizo statement mbili, naombeni msaada kwa mwenye kufahamu hilo huenda kipo kitabu cha kiada kinachosema TANZANIA IMEPATA UHURU 1961 hivyo kupotosha wanafunzi na kupelekea kufeli
 
Nakushukuruni kwa majibu yenu Kapu, Makbel na srombo. Sahihi ni Tanzania imepata uhuru 1961 kwa sababu tanganyika ilibatizwa kwa jina la tanzania 1964 hivyo tanzania kuanza kusimama kama tanganyika na kuchukua sifa zote za tanganyika.
 
Back
Top Bottom