Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo anafundisha history form three hapa Mbagara secondaryWaje kina nani?? Hutaki kujulikana Mwalimu??🤣🤣🤣
Atasema hawafundishi vitu vya Kindergarten .. ila miaka hiyo chekechea 🤣🤣🤣🤣Ahahaha umenichekesha sana., anyway ngoja mwalimu mpwayungu village aje!
OK shukrani 👍👍Kama Basi linatembea lipo Katika movement tumia on Kama umekaa tu bila movement tumia in
NB hizo ni preposition ,vihusishi unaweza tumia chochote kwa kadri unavyoona inafaa.
OK shukraniOn bus especially ikiwa unasafiri.
🤣🤣Atasema hawafundishi vitu vya Kindergarten .. ila miaka hiyo chekechea 🤣🤣🤣🤣
IPO sahihi kulingana na status ya gari kama Lina move tumia on kama lipo tumia inKwa mfano nimepigiwa na rafiki yangu nataka kumueleza nipo kwenye basi kwa kingereza ipi ni sentencing sahihi kati ya hizi
Which is correct, “I am in the bus” or “I am on the bus”?
InKwa mfano nimepigiwa na rafiki yangu nataka kumueleza nipo kwenye basi kwa kingereza ipi ni sentencing sahihi kati ya hizi.
Which is correct, “I am in the bus” or “I am on the bus”?
ByDo you travel by bus or with bus? Today a lady was shouting "I'm traveling with a bus"