Ipi simu bora kati ya iphone 12 pro na Samsung Galaxy A35 mwaka huu 2025?

Ipi simu bora kati ya iphone 12 pro na Samsung Galaxy A35 mwaka huu 2025?

Kyatile

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2017
Posts
1,730
Reaction score
1,571
Leo nimeenda dukani kununua Galaxy A35 yenye storage ya 256 GB na kwa bahati mbaya sikuipata.

Katika kuangaza macho nikaiona iphone 12 pro used ina battery health ya 86%. Nikavutiwa kuikagua na kweli bado ina vitu kadhaa vinavyovutia ila sikushawishika kuinunua hiyo pamoja na kuwa na bei sawa na A35.

Kwa wazoefu wa hii iphone 12 pro naomba mnisadie kujua kuhusu,

👉Uwezo wa battery(charge inakaa muda gani kwa mtu anayetumia simu kwa ajili ya internet browsing?)

👉Smoothness of transition btn apps na animations ukizingatia haina refresh rate kubwa,

👉Ubora wa picha kwenye mwanga hafifu

Karibu kwa mawazo yenu
 
Leo nimeenda dukani kununua Galaxy A35 yenye storage ya 256 GB na kwa bahati mbaya sikuipata.

Katika kuangaza macho nikaiona iphone 12 pro used ina battery health ya 86%. Nikavutiwa kuikagua na kweli bado ina vitu kadhaa vinavyovutia ila sikushawishika kuinunua hiyo pamoja na kuwa na bei sawa na A35.

Kwa wazoefu wa hii iphone 12 pro naomba mnisadie kujua kuhusu,

👉Uwezo wa battery(charge inakaa muda gani kwa mtu anayetumia simu kwa ajili ya internet browsing?)

👉Smoothness of transition btn apps na animations ukizingatia haina refresh rate kubwa,

👉Ubora wa picha kwenye mwanga hafifu

Karibu kwa mawazo yenu
iPhone 12 Pro ni toleo la mwaka 2020 Samsung a35 ni toleo la 2024
Upande wa battery a35 ipo vizuri
Performance iPhone ios inafanya vizuri zaidi ya android
Camera a35 IPO vizuri
Hoja ya mwisho kwangu mimi huwa sijaona kama ni sawa kufanya comparison ya iPhone inayo timia ios na android phone kuna vitu vingi sana tofauti
 
iPhone 12 Pro ni toleo la mwaka 2020 Samsung a35 ni toleo la 2024
Upande wa battery a35 ipo vizuri
Performance iPhone ios inafanya vizuri zaidi ya android
Camera a35 IPO vizuri
Hoja ya mwisho kwangu mimi huwa sijaona kama ni sawa kufanya comparison ya iPhone inayo timia ios na android phone kuna vitu vingi sana tofauti
Na Leo si kuzishindanisha bali kujua ubora ktk maeneo hayo kabla ya kufanya maamuzi
 
Leo nimeenda dukani kununua Galaxy A35 yenye storage ya 256 GB na kwa bahati mbaya sikuipata.

Katika kuangaza macho nikaiona iphone 12 pro used ina battery health ya 86%. Nikavutiwa kuikagua na kweli bado ina vitu kadhaa vinavyovutia ila sikushawishika kuinunua hiyo pamoja na kuwa na bei sawa na A35.

Kwa wazoefu wa hii iphone 12 pro naomba mnisadie kujua kuhusu,

[emoji117]Uwezo wa battery(charge inakaa muda gani kwa mtu anayetumia simu kwa ajili ya internet browsing?)

[emoji117]Smoothness of transition btn apps na animations ukizingatia haina refresh rate kubwa,

[emoji117]Ubora wa picha kwenye mwanga hafifu

Karibu kwa mawazo yenu
Mkuu Chief-Mkwawa msaada hapa kwa ndugu yetu
 
tukinunua simu kitu cha kwanza ni kuangalia chipset, Apple A14 bionic ni chipset nzuri kuliko Exynos 1380 japokuwa zote zina 5nm, nadhani hata ukienda antutu simu ya iPhone itazidi performance kidogo
 
Mkuu Chief-Mkwawa msaada hapa kwa ndugu yetu
Flagship zinakua Bora zaidi kuliko midrange, all around iPhone 12 ni Bora zaidi, sema issue hapo inakuja kuipata iPhone 12 katika ubora mzuri, asilimia 99 ya flagship za zamani kibongo bongo ni refurbished, hujui imechezewa kiasi gani, kama unamuamini muuzaji atakua responsible sio mbaya unachukua.
 
nikupe Iphone 13 Pro kwa bei hiyo hiyo utakayonunua Iphone 12 Pro japo inatumia Gevey sim card
 
Leo nimeenda dukani kununua Galaxy A35 yenye storage ya 256 GB na kwa bahati mbaya sikuipata.

Katika kuangaza macho nikaiona iphone 12 pro used ina battery health ya 86%. Nikavutiwa kuikagua na kweli bado ina vitu kadhaa vinavyovutia ila sikushawishika kuinunua hiyo pamoja na kuwa na bei sawa na A35.

Kwa wazoefu wa hii iphone 12 pro naomba mnisadie kujua kuhusu,

👉Uwezo wa battery(charge inakaa muda gani kwa mtu anayetumia simu kwa ajili ya internet browsing?)

👉Smoothness of transition btn apps na animations ukizingatia haina refresh rate kubwa,

👉Ubora wa picha kwenye mwanga hafifu

Karibu kwa mawazo yenu
A series hazina tofauti na infinix wala usije kununua
 
Flagship zinakua Bora zaidi kuliko midrange, all around iPhone 12 ni Bora zaidi, sema issue hapo inakuja kuipata iPhone 12 katika ubora mzuri, asilimia 99 ya flagship za zamani kibongo bongo ni refurbished, hujui imechezewa kiasi gani, kama unamuamini muuzaji atakua responsible sio mbaya unachukua.
Mkuu hebu tia neno kwenye vivo x200 pro/ vivo x100 ultra

Kwamba ndo the best phone camera Kwa Sasa kuliko simu Zote?
 
Mkuu hebu tia neno kwenye vivo x200 pro/ vivo x100 ultra

Kwamba ndo the best phone camera Kwa Sasa kuliko simu Zote?
Ni one among the best camera phone, Maana camera zina aspect nyingi sana na kila simu inakua sehemu inafanya vizuri kwengine haifanyi vizuri, all around Vivo flagship zao zina Camera nzuri sana.
 
Acha kufananisha 12 pro na takataka tena series a,
Labda kama una lingine lakini kama ni hlo go for 12pro
Simu za samsung nakiri kusema kuwa zinafubaa camera, na ni samsung zote zina hii kitu
 
Back
Top Bottom