Ipi suluhu ya kuboresha uwezo wa kuona?

Ipi suluhu ya kuboresha uwezo wa kuona?

The Garang

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2018
Posts
2,880
Reaction score
4,830
Habarini wanajukwaa la JF Doctor.

Nisiwachoshe na niende moja kwa moja kwenye mada, kutokana na matumizi ya vifaa vya kiumeme hasa runinga, kompyuta na smartphone kwa muda mrefu nimejikuta nikiyaweka macho yangu kwenye hatari kubwa ya kutoweza kuona vizuri.

Japo ni kidogo lakini kwa kipindi cha miaka kadhaa nimeona uwezo wangu wa kuona mbali na kuona kitu kwa uangavu (clear) ukipunguaa.

inaweza ikatokea mtu Yuko mita kadhaa mbele yangu nisimtambue isipokuwa labda nkagundua mwendo au mavazi alovaa kuwa ni ya mtu fulani.

Sijajua kama na vyakula navyo vinachangia kwa hili suala maaana sijatafuna karoti muda sana karibia miaka tofauti na hapo zaman ,na hii labda naweza sema ni kutokana na muda mwingi kuwa boarding na kama unavojuaa shule za boarding msosi mara nyingi sio mzuri.

Naomba ushauri ,kama kuna vyakula navyopaswa kula ilikuweza ku improve my sight.

Nawasilisha na karibu kwa mchango wako.
 
Kwa maelezo yako una matatizo ya kuona mbali kwa sababu ulikuwa unatumia hivyo vifaa ulivyo sema pasipo na uangalifu . Nenda Hospitali kamuone Daktari akupime ili upate kutumia miwani ya macho.

Au kama hutaki kutumia miwani ya macho nitafute kwa wakati wako ili nipate kukutibia mimi kwa dawa zangu za asili uweze kuona vizuriğ uguwa pole.
 
Kwa maelezo yako una matatizo ya kuona mbali kwa sababu ulikuwa unatumia hivyo vifaa ulivyo sema pasipo na uangalifu . Nenda Hospitali kamuone Daktari akupime ili upate kutumia miwani ya macho. Au kama hutaki kutumia miwani ya macho nitafute kwa wakati wako ili nipate kukutibia mimi kwa dawa zangu za asili uweze kuona vizuriğ uguwa pole.
Asante sana, nitamtafuta daktari nione anasemaje
 
TIBA ZA MACHO

Macho yakishapungukiwa uwezo wa kuona hayana dawa ila tiba ni kama 1.Miwani 2.Contact lens 3.Corneal surgery

Ya 1 na ya 2 zinaeleweka iyo ya 3 ni kwamba unafanyiwa opareshen wanasharp cornea(mboni) ili irudishe uwezo wake na hapo utapona kabsaa lakini kwa TZ hapa ata mm bado natafta hii tiba naomba uulizie hospital ipi kubwa wanafanya hii opareshen ya machoo???
 
TIBA ZA MACHO

Macho yakishapungukiwa uwezo wa kuona hayana dawa ila tiba ni kama 1.Miwani 2.Contact lens 3.Corneal surgery

Ya 1 na ya 2 zinaeleweka iyo ya 3 ni kwamba unafanyiwa opareshen wanasharp cornea(mboni) ili irudishe uwezo wake na hapo utapona kabsaa lakini kwa TZ hapa ata mm bado natafta hii tiba naomba uulizie hospital ipi kubwa wanafanya hii opareshen ya machoo???
sawa mwalimu
 
TIBA ZA MACHO

Macho yakishapungukiwa uwezo wa kuona hayana dawa ila tiba ni kama 1.Miwani 2.Contact lens 3.Corneal surgery

Ya 1 na ya 2 zinaeleweka iyo ya 3 ni kwamba unafanyiwa opareshen wanasharp cornea(mboni) ili irudishe uwezo wake na hapo utapona kabsaa lakini kwa TZ hapa ata mm bado natafta hii tiba naomba uulizie hospital ipi kubwa wanafanya hii opareshen ya machoo???
SIO KWELI NILIVAA MIWANI KWA MIAKA 23 TOKA NIKIWA NA UMRI WA MIAKA 5 SIKUPONA UONI HAFIFU.!
LAKINI NILITUMIA TIBA MBADALA YA KUNYWA CHAI YA MAJANI YA GREEN LABEL ISIYO NA SIKARI KWA TAKRIBANI MWESI 1 HADI LEO HII SIVAI MIWANI NA NINA ONA VEMA .NI MIAKA 15 SASA TOKA NILIPO TUMIA CHAI HIYO YA RANGI NA YA KAWAIDA KABISAA
 
SIO KWELI NILIVAA MIWANI KWA MIAKA 23 TOKA NIKIWA NA UMRI WA MIAKA 5 SIKUPONA UONI HAFIFU.!
LAKINI NILITUMIA TIBA MBADALA YA KUNYWA CHAI YA MAJANI YA GREEN LABEL ISIYO NA SIKARI KWA TAKRIBANI MWESI 1 HADI LEO HII SIVAI MIWANI NA NINA ONA VEMA .NI MIAKA 15 SASA TOKA NILIPO TUMIA CHAI HIYO YA RANGI NA YA KAWAIDA KABISAA
Ulitumia kwa ratiba ipi?
 
Mi nakumbuka nilipewa miwani hospitali fulani na watu kutoka asia baada ya kunipima, lakini nikajiapia moyoni sitakuja kuvaa miwani abadani,miwani nikaihifadhi sehemu...sijui Nini kilinituma ktk nafsi yangu nikajikuta nina bili ya mbogamboga ,karoti.kila siku nilikuwa lazima nile hivyo vitu kama nusu mwaka hivi nikapona freshi tu,hadi Sasa...
 
Mi nakumbuka nilipewa miwani hospitali fulani na watu kutoka asia baada ya kunipima, lakini nikajiapia moyoni sitakuja kuvaa miwani abadani,miwani nikaihifadhi sehemu...sijui Nini kilinituma ktk nafsi yangu nikajikuta nina bili ya mbogamboga ,karoti.kila siku nilikuwa lazima nile hivyo vitu kama nusu mwaka hivi nikapona freshi tu,hadi Sasa...
Nami nimepewa miwani, nimeiweka kapuni. Sasa nipo na dozi ya karoti na mboga majani nikiamini nitapona
 
Back
Top Bottom