Ipi suluhu ya kuboresha uwezo wa kuona?

Ipi suluhu ya kuboresha uwezo wa kuona?

Mi nakumbuka nilipewa miwani hospitali fulani na watu kutoka asia baada ya kunipima, lakini nikajiapia moyoni sitakuja kuvaa miwani abadani,miwani nikaihifadhi sehemu...sijui Nini kilinituma ktk nafsi yangu nikajikuta nina bili ya mbogamboga ,karoti.kila siku nilikuwa lazima nile hivyo vitu kama nusu mwaka hivi nikapona freshi tu,hadi Sasa...
Nina muda sana sijala karoti
 
SIO KWELI NILIVAA MIWANI KWA MIAKA 23 TOKA NIKIWA NA UMRI WA MIAKA 5 SIKUPONA UONI HAFIFU.!
LAKINI NILITUMIA TIBA MBADALA YA KUNYWA CHAI YA MAJANI YA GREEN LABEL ISIYO NA SIKARI KWA TAKRIBANI MWESI 1 HADI LEO HII SIVAI MIWANI NA NINA ONA VEMA .NI MIAKA 15 SASA TOKA NILIPO TUMIA CHAI HIYO YA RANGI NA YA KAWAIDA KABISAA
Nitajaribu piaa
 
Msidanganyane, macho matatizo hayafanani, na tatizo la macho ni kubwa kuliko watu wanavyofikiri.

Sasa hivi kuna tatizo kubwa sana la cataract yaani mtoto wa jicho, hii solution yake ni oparesheni tu na unawekea artificial rens maisha yanaendelea fresh tu.

Kwa wasiokuwa na uwezo wa kugharamia cost za oparesheni hii ambayo inacost hadi million 3 wafadhili wapo wanaogharamia cost hizi, mwenye tatizo la cataract naweza kumlick akafanye oparesheni ni salama wala haina shida.

Tatizo la macho ukiendekeza magumashi na bush doctors utaishia kwenye upofu, ni lazima utapata upofu sitanii.
 
Msidanganyane, macho matatizo hayafanani, na tatizo la macho ni kubwa kuliko watu wanavyofikiri.

Sasa hivi kuna tatizo kubwa sana la cataract yaani mtoto wa jicho, hii solution yake ni oparesheni tu na unawekea artificial rens maisha yanaendelea fresh tu.

Kwa wasiokuwa na uwezo wa kugharamia cost za oparesheni hii ambayo inacost hadi million 3 wafadhili wapo wanaogharamia cost hizi, mwenye tatizo la cataract naweza kumlick akafanye oparesheni ni salama wala haina shida.

Tatizo la macho ukiendekeza magumashi na bush doctors utaishia kwenye upofu, ni lazima utapata upofu sitanii.
Ikiwa Ni mtoto wa JICHO kapasuliwe na SI kila tatizo la uoni hafifu Ni mtoto wa jicho
 
SIO KWELI NILIVAA MIWANI KWA MIAKA 23 TOKA NIKIWA NA UMRI WA MIAKA 5 SIKUPONA UONI HAFIFU.!
LAKINI NILITUMIA TIBA MBADALA YA KUNYWA CHAI YA MAJANI YA GREEN LABEL ISIYO NA SIKARI KWA TAKRIBANI MWESI 1 HADI LEO HII SIVAI MIWANI NA NINA ONA VEMA .NI MIAKA 15 SASA TOKA NILIPO TUMIA CHAI HIYO YA RANGI NA YA KAWAIDA KABISAA
Mkuu nimependa huu ushuhuda, hii dawa alikuelekeza nani kiongozi?
 
Back
Top Bottom