Atochukua miaka miwili kuzoea lakini hakutakua na maelewano mazuri kati yao. Kuna njia za kupitisha mipira Messi anavyocheza akiwa Barcelona ni tofauti anavyocheza akiwa Argentina. Kuna pasi anampigia Suarez au Neymar hauamini kama itafika lakini unashangaa Neymar kaipata na kufunga,pasi kama hiyo ampigie Higuain uone kama ataipata.