Ipi tofauti ya kumegwa kwa Crimea & Co na kumegwa kwa Kossovo?

Ipi tofauti ya kumegwa kwa Crimea & Co na kumegwa kwa Kossovo?

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Wajuvi karibuni na wanahistoria tupate elimu. Historia ya kumegwa Kosovo toka Serbia kwa msaada wa NATO na kumegwa kwa CRIMEA&Co(Luhansk,Donetsk,Donbass) kwa msaada wa Urussi.Je umegaji upi ni sahihi na upi ulikuwa Si sahihi?, kwa hoja zipi?.

Ya Ukraine tunayajua, turejee ya Serbia na Kossovo:

Kossovo ilitawaliwa na NATO mwaka 1999 na serikali yake ya muda ya kabila la Albania ilitangaza uhuru wake mwaka 2008,
kwa kuungwa mkono na Marekani na washirika wake. Belgrade imekataa kutambua jimbo hilo lililojitenga, na inaungwa mkono na Urusi na Uchina, miongoni mwa zingine.

Baada ya wiki kumi na moja za milipuko ya mabomu katika vita ya 1999, Merika na NATO hatimaye zilishinda vita huko Kosovo. Wanajeshi wa Serbia walilazimika kuondoka, na kuwezesha uwepo wa kijeshi wa kimataifa na kisiasa kuchukua jukumu katika eneo hilo.

Tarehe 9 Juni 1998, Rais wa Marekani Bill Clinton alitangaza "dharura ya kitaifa" (hali ya hatari) kutokana na "tishio lisilo la kawaida na la ajabu kwa usalama wa taifa na sera ya kigeni ya Marekani" iliyowekwa na Yugoslavia na Serbia juu ya Vita vya Kosovo.

Je, NATO imevamia nchi? Watu wanadhani kwamba NATO kama nchi moja kama Ubelgiji kwa mfano, sivyo. inaundwa na nchi 30 wanachama ni muungano wa ulinzi wa pamoja. Ilishiriki katika Afghanistan na Yugoslavia ya zamani

NATO ilishambulia kwa bomu Televisheni ya Redio ya makao makuu ya Serbia na kuua wafanyikazi kumi na sita raia wa Serbia. Hii iliitwa jinai ya kivita na Amnesty International. NATO ilidai kuwa shambulio hilo la bomu lilihalalishwa kwa sababu kituo hicho kilifanya kazi kama chombo cha propaganda kwa utawala wa Milošević.

Ukraine ilikataa kuitambua Kosovo, lakini inaonekana nchi hiyo, ambayo inakabiliwa na vita vya Urusi, imebadili msimamo wake kuhusu suala hilo. Mbunge wa Ukrain, katika majibu kwenye mitandao ya kijamii, ametangaza kwamba amewasilisha Bungeni rasimu ya sheria kuhusu utambuzi wa uhuru wa Kosovo, Oktoba 2022.

Karibuni wanajamvi..
Note😛ro East na Pro West Unazi uje na hoja wa side A na B siyo blah blah
 
Na huko Taiwan,US ndio anampa jeuri!
 
Wajuvi karibuni na wanahistoria tupate elimu. Historia ya kumegwa Kosovo toka Serbia kwa msaada wa NATO na kumegwa kwa CRIMEA&Co(Luhansk,Donetsk,Donbass) kwa msaada wa Urussi.Je umegaji upi ni sahihi na upi ulikuwa Si sahihi?, kwa hoja zipi?.

Ya Ukraine tunayajua, turejee ya Serbia na Kossovo:

Kossovo ilitawaliwa na NATO mwaka 1999 na serikali yake ya muda ya kabila la Albania ilitangaza uhuru wake mwaka 2008,
kwa kuungwa mkono na Marekani na washirika wake. Belgrade imekataa kutambua jimbo hilo lililojitenga, na inaungwa mkono na Urusi na Uchina, miongoni mwa zingine.

Baada ya wiki kumi na moja za milipuko ya mabomu katika vita ya 1999, Merika na NATO hatimaye zilishinda vita huko Kosovo. Wanajeshi wa Serbia walilazimika kuondoka, na kuwezesha uwepo wa kijeshi wa kimataifa na kisiasa kuchukua jukumu katika eneo hilo.

Tarehe 9 Juni 1998, Rais wa Marekani Bill Clinton alitangaza "dharura ya kitaifa" (hali ya hatari) kutokana na "tishio lisilo la kawaida na la ajabu kwa usalama wa taifa na sera ya kigeni ya Marekani" iliyowekwa na Yugoslavia na Serbia juu ya Vita vya Kosovo.

Je, NATO imevamia nchi? Watu wanadhani kwamba NATO kama nchi moja kama Ubelgiji kwa mfano, sivyo. inaundwa na nchi 30 wanachama ni muungano wa ulinzi wa pamoja. Ilishiriki katika Afghanistan na Yugoslavia ya zamani

NATO ilishambulia kwa bomu Televisheni ya Redio ya makao makuu ya Serbia na kuua wafanyikazi kumi na sita raia wa Serbia. Hii iliitwa jinai ya kivita na Amnesty International. NATO ilidai kuwa shambulio hilo la bomu lilihalalishwa kwa sababu kituo hicho kilifanya kazi kama chombo cha propaganda kwa utawala wa Milošević.

Ukraine ilikataa kuitambua Kosovo, lakini inaonekana nchi hiyo, ambayo inakabiliwa na vita vya Urusi, imebadili msimamo wake kuhusu suala hilo. Mbunge wa Ukrain, katika majibu kwenye mitandao ya kijamii, ametangaza kwamba amewasilisha Bungeni rasimu ya sheria kuhusu utambuzi wa uhuru wa Kosovo, Oktoba 2022.

Karibuni wanajamvi..
Note😛ro East na Pro West Unazi uje na hoja wa side A na B siyo blah blah
Hujui chochote, Yugoslavia, imeunda mataifa ya slovenia na slovakia, Serbia, Herzegovina na Kosovo. Lakini Serbia ambayo ndio aliekua mkubwa na jamii kubwa ya wa serb walitawanyika kutoka slovenia hadi Kosovo ya kasikazini. Serbia hakutaka kosovo ipate uhuru kwa kuwa moja ya jimbo la kosovo lina waserbia wengi sana, alikua anataka kosovo atoe hilo jimbo kwa Serbia. Kosovo akakataa, ndipo Serbia akatuma majeshi kuvamia Kosovo ili kuwalinda wa Serb walio wachache uko Kosovo. NATO walituma majeshi kualibu vifaa vya Serbia. Serbia alisaidiwa na Urusi. Na tabia hii ya Ia, ndio Urusi anaitumia eti ili kuwalinda Warusi walioko Georgia, Transinistria Moldova, na Ukraine. Kwahiyo, Kosovo ni jamii ya watu, na niTaifa kamili, na hao Waserbia walioko Kosovo wanaishi kwenye nchi hiyo ya Kosovo kwa amani.
 
Wajuvi karibuni na wanahistoria tupate elimu. Historia ya kumegwa Kosovo toka Serbia kwa msaada wa NATO na kumegwa kwa CRIMEA&Co(Luhansk,Donetsk,Donbass) kwa msaada wa Urussi.Je umegaji upi ni sahihi na upi ulikuwa Si sahihi?, kwa hoja zipi?.

Ya Ukraine tunayajua, turejee ya Serbia na Kossovo:

Kossovo ilitawaliwa na NATO mwaka 1999 na serikali yake ya muda ya kabila la Albania ilitangaza uhuru wake mwaka 2008,
kwa kuungwa mkono na Marekani na washirika wake. Belgrade imekataa kutambua jimbo hilo lililojitenga, na inaungwa mkono na Urusi na Uchina, miongoni mwa zingine.

Baada ya wiki kumi na moja za milipuko ya mabomu katika vita ya 1999, Merika na NATO hatimaye zilishinda vita huko Kosovo. Wanajeshi wa Serbia walilazimika kuondoka, na kuwezesha uwepo wa kijeshi wa kimataifa na kisiasa kuchukua jukumu katika eneo hilo.

Tarehe 9 Juni 1998, Rais wa Marekani Bill Clinton alitangaza "dharura ya kitaifa" (hali ya hatari) kutokana na "tishio lisilo la kawaida na la ajabu kwa usalama wa taifa na sera ya kigeni ya Marekani" iliyowekwa na Yugoslavia na Serbia juu ya Vita vya Kosovo.

Je, NATO imevamia nchi? Watu wanadhani kwamba NATO kama nchi moja kama Ubelgiji kwa mfano, sivyo. inaundwa na nchi 30 wanachama ni muungano wa ulinzi wa pamoja. Ilishiriki katika Afghanistan na Yugoslavia ya zamani

NATO ilishambulia kwa bomu Televisheni ya Redio ya makao makuu ya Serbia na kuua wafanyikazi kumi na sita raia wa Serbia. Hii iliitwa jinai ya kivita na Amnesty International. NATO ilidai kuwa shambulio hilo la bomu lilihalalishwa kwa sababu kituo hicho kilifanya kazi kama chombo cha propaganda kwa utawala wa Milošević.

Ukraine ilikataa kuitambua Kosovo, lakini inaonekana nchi hiyo, ambayo inakabiliwa na vita vya Urusi, imebadili msimamo wake kuhusu suala hilo. Mbunge wa Ukrain, katika majibu kwenye mitandao ya kijamii, ametangaza kwamba amewasilisha Bungeni rasimu ya sheria kuhusu utambuzi wa uhuru wa Kosovo, Oktoba 2022.

Karibuni wanajamvi..
Note😛ro East na Pro West Unazi uje na hoja wa side A na B siyo blah blah
Hujui chochote, Yugoslavia, imeunda mataifa ya slovenia na slovakia, Serbia, Herzegovina na Kosovo. Lakini Serbia ambayo ndio aliekua mkubwa na jamii kubwa ya wa serb walitawanyika kutoka slovenia hadi Kosovo ya kasikazini. Serbia hakutaka kosovo ipate uhuru kwa kuwa moja ya jimbo la kosovo lina waserbia wengi sana, alikua anataka kosovo atoe hilo jimbo kwa Serbia. Kosovo akakataa, ndipo Serbia akatuma majeshi kuvamia Kosovo ili kuwalinda wa Serb walio wachache uko Kosovo. NATO walituma majeshi kualibu vifaa vya Serbia. Serbia alisaidiwa na Urusi. Na tabia hii ya Ia, ndio Urusi anaitumia eti ili kuwalinda Warusi walioko Georgia, Transinistria Moldova, na Ukraine. Kwahiyo, Kosovo ni jamii ya watu, na niTaifa kamili, na hao Waserbia walioko Kosovo wanaishi kwenye nchi hiyo ya Kosovo kwa amani.
 
Hujui chochote, Yugoslavia, imeunda mataifa ya slovenia na slovakia, Serbia, Herzegovina na Kosovo. Lakini Serbia ambayo ndio aliekua mkubwa na jamii kubwa ya wa serb walitawanyika kutoka slovenia hadi Kosovo ya kasikazini. Serbia hakutaka kosovo ipate uhuru kwa kuwa moja ya jimbo la kosovo lina waserbia wengi sana, alikua anataka kosovo atoe hilo jimbo kwa Serbia. Kosovo akakataa, ndipo Serbia akatuma majeshi kuvamia Kosovo ili kuwalinda wa Serb walio wachache uko Kosovo. NATO walituma majeshi kualibu vifaa vya Serbia. Serbia alisaidiwa na Urusi. Na tabia hii ya Ia, ndio Urusi anaitumia eti ili kuwalinda Warusi walioko Georgia, Transinistria Moldova, na Ukraine. Kwahiyo, Kosovo ni jamii ya watu, na niTaifa kamili, na hao Waserbia walioko Kosovo wanaishi kwenye nchi hiyo ya Kosovo kwa amani.
Soma hii article uje tena:
Kossovo ilikuwa jimbo la Serbia kka:

United States and its NATO allies did to Serbia in 1999? In that case, an alliance that was supposedly created for purely defensive purposes launched an offensive, seventy‐eight‐day air war against a country that had not even arguably committed an aggressive act against any NATO member. At the end of that assault, which killed hundreds of Serb civilians and devastated the country’s infrastructure, NATO leaders forced Slobodan Milosevic’s government to relinquish control of Serbia’s Kosovo province to international control. That transfer was made under a fig‐leaf resolution the UN Security Council passed despite Moscow’s misgivings and reluctance. UN (predominantly NATO) “peacekeepers” moved in to enforce the alliance’s diktat—much as Russian “peacekeepers” have now deployed to Donetsk and Luhansk to enforce the Kremlin’s orders.

The parallels between the two events should make current Western leaders more than a little squeamish. NATO’s violations of international law did not end with an aggressive war, the administrative amputation of Kosovo from Serbia, and the deployment of occupation forces. Nine years later, Western powers engaged in a brazenly cynical maneuver to grant Kosovo full independence. Kosovo wanted to declare its formal independence from Serbia, but such a move would face a certain Russian (and probable Chinese) veto in the UN Security Council (UNSC). Washington and an ad hoc coalition of most European Union countries brazenly bypassed the UNSC and approved Pristina’s independence declaration.
 
Hujui chochote, Yugoslavia, imeunda mataifa ya slovenia na slovakia, Serbia, Herzegovina na Kosovo. Lakini Serbia ambayo ndio aliekua mkubwa na jamii kubwa ya wa serb walitawanyika kutoka slovenia hadi Kosovo ya kasikazini. Serbia hakutaka kosovo ipate uhuru kwa kuwa moja ya jimbo la kosovo lina waserbia wengi sana, alikua anataka kosovo atoe hilo jimbo kwa Serbia. Kosovo akakataa, ndipo Serbia akatuma majeshi kuvamia Kosovo ili kuwalinda wa Serb walio wachache uko Kosovo. NATO walituma majeshi kualibu vifaa vya Serbia. Serbia alisaidiwa na Urusi. Na tabia hii ya Ia, ndio Urusi anaitumia eti ili kuwalinda Warusi walioko Georgia, Transinistria Moldova, na Ukraine. Kwahiyo, Kosovo ni jamii ya watu, na niTaifa kamili, na hao Waserbia walioko Kosovo wanaishi kwenye nchi hiyo ya Kosovo kwa amani.

Umedanganya au huna uelewa wa yaliyotokea 2008 na 1999:
Kossovo ilikuwa sehemu ya Serbia:

Soma pia:

Kosovo, self-declared independent country in the Balkans region of Europe. Although the United States and most members of the European Union (EU) recognized Kosovo's declaration of independence from Serbia in 2008, Serbia, Russia, and a significant number of other countries—including several EU members—did not.
 
Hujui chochote, Yugoslavia, imeunda mataifa ya slovenia na slovakia, Serbia, Herzegovina na Kosovo. Lakini Serbia ambayo ndio aliekua mkubwa na jamii kubwa ya wa serb walitawanyika kutoka slovenia hadi Kosovo ya kasikazini. Serbia hakutaka kosovo ipate uhuru kwa kuwa moja ya jimbo la kosovo lina waserbia wengi sana, alikua anataka kosovo atoe hilo jimbo kwa Serbia. Kosovo akakataa, ndipo Serbia akatuma majeshi kuvamia Kosovo ili kuwalinda wa Serb walio wachache uko Kosovo. NATO walituma majeshi kualibu vifaa vya Serbia. Serbia alisaidiwa na Urusi. Na tabia hii ya Ia, ndio Urusi anaitumia eti ili kuwalinda Warusi walioko Georgia, Transinistria Moldova, na Ukraine. Kwahiyo, Kosovo ni jamii ya watu, na niTaifa kamili, na hao Waserbia walioko Kosovo wanaishi kwenye nchi hiyo ya Kosovo kwa amani.
Yaani hujui kuwa Kossovo ilikuwa jimbo la Serbia??
Duh
 
Back
Top Bottom