Ipi top 5 yako ya vyuo vikuu bora unavyovikubali Tanzania?

Vyuo Vikuu Bora Duniani.
1.Havard
2.Oxford
3.Yale
4.MIT
5.Cambridge
 
1. Mum
2.aru
3.must
4.sua
5.udsm
 
Unapo taka ktaja chuo bora o lazma uangalie unazungumzia nini,mfano kuna.vyuo bora katika kuanda walimu: 1 UDOM 2 UDSM 3 SAUTI 4 MUM 5 Nimesahau jina ila n kichuo kimoja hivi cha binafsi kipo dsm.Ukiangalia sekta zingine kama biashara,sheria ndo utakta kama hivi: UDSM, MZUMBE N.K
 
Ruco,Ruco,Ruco,Ruco,Muhas kwakua inatoa koz ya BEHSIT ambayo haipatikani chuo chochote. Tananzania. ikifuatiwa na muhas ambayo inatoa BSEHS.
 
Katika kuelekea application za vyuo mwaka huu unadhani ni ipi top 5 yako ya vyuo unavyovikubali Tz? Karibu

piga kelele zote watakaofaulu vizuri LAZIMA WANAWEZA ANZA NA HIVI 1.UDSM.AU 2.MZUMBE AU3.SUA..MUHAS.. ARDHI..DIT... SITAKUBALIANA NA MTU ETI MTU ANA DIV 1 ALAFU ACHAGUE CHUO NJE YA HIVYO.
 
piga kelele zote watakaofaulu vizuri LAZIMA WANAWEZA ANZA NA HIVI 1.UDSM.AU 2.MZUMBE AU3.SUA..MUHAS.. ARDHI..DIT... SITAKUBALIANA NA MTU ETI MTU ANA DIV 1 ALAFU ACHAGUE CHUO NJE YA HIVYO.

Mkuu nakuheshimu sana
 
Katika kuelekea application za vyuo mwaka huu unadhani ni ipi top 5 yako ya vyuo unavyovikubali Tz? Karibu

Taja fani gani unataka kusomea, kama engineering tua DIT ila kudisco ni kawaida pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…