Hii kitu inafanyikia wapi, na inacost how much?
Nina fielder yangu new model 1.5 natamani miifanye hivyo
Mzee acha kumuingiza mwenzako maboya....hivi unafkiri turbo kit ni kitu ya mchezo mchezo unafunga tuu kama nyanya
ECU hajabadilisha bado
Hajamlipa mapper
Hajaanza wiring upya...bado shipping cost
Hizo mambo zote not less than 8m...prove wrong
I mean in terms of fuel consumption... Bei karibu zinalinganaSi kweli,
Hata kwa 11mil unaweza ukaagiza Altezza
@@@@?????Je kwa toyota sienta 4wl, inafaa kufungwa turbo na intercooler, hiyo ecu mapping ni kitu gani, hiyo kazi inafanyiwa wapi, je ulaji wa mafuta utaongezeka? Naimani utanijibu vizuri.
uongo..mafuta ya ten unaimbisha tezza mjini siku nzima
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]sasa ukiiweka huko altezza itashika mkia [emoji615]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mbavu zangu leoIST no gari ya kike alteza gari ya Kiume sasa hapo tu inategemea na ww jinsia gani.
Achana na huyo mkuda, haijui IST, hii gari matata sana hata kwenye rafu road kulko hicho ki-Alteza ambacho hakifai hata kubustiwaHuijui IST zaidi ya kuiona tu. Eti Alteeza ni bora zaidi ya IST kwenye rough road duh!
Kwanini utanataka ufunge gesi mkuu..kama ni ishu ya mafuta uza hio tezza nunua gari zisizo kula mafuta...HV ukiwa na Tezza alafu ukafunga Gas hii imekuaje hii he
Ki ukweli hz ist, Ractis au Passo hazina mvuto napia ni common sana, kidogo zile Toyota Prius zina shepu nzuri lkn ni chache mno nadhani hata spear ni issueKwanini utanataka ufunge gesi mkuu..kama ni ishu ya mafuta uza hio tezza nunua gari zisizo kula mafuta...
Mzee spare za gari muhimu ni kama tie rod end,bush,ball joint,shock up, ni vitu ambavyo vinapatikana sana mkuu wala visikutisheKi ukweli hz ist, Ractis au Passo hazina mvuto napia ni common sana, kidogo zile Toyota Prius zina shepu nzuri lkn ni chache mno nadhani hata spear ni issue