Ipo haja kwa Serikali kuja na mkakati mahsusi wa kuwawezesha matajiri wa Tanzania

Ipo haja kwa Serikali kuja na mkakati mahsusi wa kuwawezesha matajiri wa Tanzania

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikisafiri njia ya Arusha-Dar na huku nimeshuhudia mabasi maarufu kutoka Mkoa wa Tanga kwenda maeneo mbalimbali nchini hususani Dar.

Basi maarufu la "SIMBA MTOTO" limeweza kusurvive regimens kadhaa za uongozi wa kisiasa ikimaanisha hawa ni moja ya legends katika usafirishaji abiria nchini.

Kwa mafanikio waliofikia SIMBA MTOTO walitakiwa wawe na Ndege au hata Gari moshi katika industry ya usafirishaji.

Inawezekana wameshindwa kutokana na mtaji au kuwezeshwa kifursa (kwa makusudi kabisa).

Serikali ifanye uchambuzi wa kutambua wafanyabiashara wazalendo na iwawezeshe ili kutanua mitaji yao na hatimaye ajira
.
 
Nakubaliana na wewe kwa upande mmoja ni vizuri kuwa na mkakati wa makusudi wa kutengeneza matajiri, lakini kwa upande mwingine ubinafsi na uroho kama tujuavyo hii rangi yetu na vitu vinavyoitwa INTEGRITY AND HONEST ni SIFURI sasa hapa pata kaaje Mkuu?
 
Huwezeshwaji wa matajiri huja baada ya watu wengi kuwa na kipato cha kueleweka na ELIMU NZURI afya, utawala wa sheria BILA hayo mazingira you're waiting a plane in port
 
Back
Top Bottom