Ipo haja ya Rais kuvunja Serikali na kuunda Mpya

Ipo haja ya Rais kuvunja Serikali na kuunda Mpya

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Kutokana na yanayoendelea hapa nchini.

Ipo haja ya Rais kuvunja Serikali nzima na kuunda mpya kabisa.

Kutokuaminiana na hujuma kumetamalaki.

Nazungumzia Kutoka kwa PM kushuka chini.

Avunje baraza lote la mawaziri.

Ateue wapya kabisa.

Amuandikie barua Spika kumuomba ajiuzulu kwa maslahi ya uma.

Atulie kwa muda wa miezi mitatu akiunda team yake.

Hapo sasa tutakuwa tumeondoa element ya kutoaminiana na kuhujumiana.

Pia wananchi nao watatulia maana serikali isipokua na utulivu wananchi nao hupata hofu ya kufanya shughuli zao.

Kwa maslahi mapana ya Taifa, napendekeza hayo yafanyike baada ya kipindi cha miezi mitatu.
 
Bado PM na Baraza la Mawaziri.

Again ;

Baraza liundwe kwa utulivu bila papara tusije sikia tena huko mbeleni mambo ya kuhujumiana kwa stress za 2025.
 
Kuna taarifa kuwa eti Wanawake wa kizaramo wanajua "kusuta" na "kusimanga" ila kwa hili naomba nikiri kuwa, Wazaramo watasubiri sana!

Kuna Wanawake wanajua kusimanga aiseee, wanajua kusuta, unaweza kujikuta unaandikabarua ya kuacha kaz..teh🤣
 
Kuna taarifa kuwa eti Wanawake wa kizaramo wanajua "kusuta" na "kusimanga" ila kwa hili naomba nikiri kuwa, Wazaramo watasubiri sana!

Kuna Wanawake wanajua kusimanga aiseee, wanajua kusuta, unaweza kujikuta unaandikabarua ya kuacha kaz..teh🤣

Ushimen ipo haja ya kujifunza msuto ila sijui wanaume wataishi wapi😅😅 maana kazini msuto nyumbani msuto.




Na vile kelele hamziwezi sijui itakuaje
 
Kutokana na yanayoendelea hapa nchini.

Ipo haja ya Rais kuvunja Serikali nzima na kuunda mpya kabisa.

Kutokuaminiana na hujuma kumetamalaki.

Nazungumzia Kutoka kwa PM kushuka chini.

Avunje baraza lote la mawaziri.

Ateue wapya kabisa.

Amuandikie barua Spika kumuomba ajiuzulu kwa maslahi ya uma.

Atulie kwa muda wa miezi mitatu akiunda team yake.

Hapo sasa tutakuwa tumeondoa element ya kutoaminiana na kuhujumiana.

Pia wananchi nao watatulia maana serikali isipokua na utulivu wananchi nao hupata hofu ya kufanya shughuli zao.

Kwa maslahi mapana ya Taifa, napendekeza hayo yafanyike baada ya kipindi cha miezi mitatu.
Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi mengine ya kwako
 
Sasa unategenea PM ajiuzulu?
Hao wote amewakuta,

Kutoaminiana , malamiko ya uwepo wa hujuma.

Stress za 2025.

Suluhisho ni sura mpya ambazo Mkuu wa Nchi anaona yupo comfortable nazo.

Pia utulivu wa nchi ni muhimu sana.

Misuguano yeyote huwa inaleta sintofahamu kwa wananchi jambo ambalo halitakiwi kutokea.
 
Naomba kuuliza kwa iyo akija speaker mwingine akahoji kuhusu utendaji wa serikali naye atatolewa
 
Kutokana na yanayoendelea hapa nchini.

Ipo haja ya Rais kuvunja Serikali nzima na kuunda mpya kabisa.

Kutokuaminiana na hujuma kumetamalaki.

Nazungumzia Kutoka kwa PM kushuka chini.

Avunje baraza lote la mawaziri.

Ateue wapya kabisa.

Amuandikie barua Spika kumuomba ajiuzulu kwa maslahi ya uma.

Atulie kwa muda wa miezi mitatu akiunda team yake.

Hapo sasa tutakuwa tumeondoa element ya kutoaminiana na kuhujumiana.

Pia wananchi nao watatulia maana serikali isipokua na utulivu wananchi nao hupata hofu ya kufanya shughuli zao.

Kwa maslahi mapana ya Taifa, napendekeza hayo yafanyike baada ya kipindi cha miezi mitatu.
Of course anatakiwa kuivunja na kuanza upya,pm nae kwa busara angepisha
 
Back
Top Bottom