Ipo siku Chalamila litamtoka neno zito, Hata mwenyewe hataamini!

Magufuli alivyokufa alisema siku nyingine wawe makini kuchagua mgombea mwenza ili akiwa VP asijekumloga Rais afie madarakani ili arithi kiti cha urais. Nikajiuliza Samia atakuwa anajisikiaje?
 
Magufuli alivyokufa alisema siku nyingine wawe makini kuchagua mgombea mwenza ili akiwa VP asijekumloga Rais afie madarakani ili arithi kiti cha urais. Nikajiuliza Samia atakuwa anajisikiaje?
Huwezi kujua ilikuwaje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…