Kivipi wakati mmiliki ni mmoja!!?....nyinyi wafuasi ndo mnatoana ngeu yeye anajilia tu!WCB kwa sasa ni kama maji utake usitake utayanywa tu hata ukiwachukia utawaangalia kimya kimya tu. Ukweli ni kwamba Diamond platnumz na WCB nzima wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuiteka kona ya Mitandao ya kijamii kutokana na brand yao kuwa na Fan base kubwa na inaongoza kufwatiliwa na watu wengi.
Baada ya Diamond kuanzisha Wasafi festival imekuwa ni pigo kubwa kwa clouds, huku wakijikuta wanaanzisha vijembe kuwa wasafi wanateseka wakati wao wenyewe ndio wanateseka
Clouds kwasasa imekosa mvuto, ubuyu wote ulikuwa wcb sasa wamebaki wanatapatapa, ipo siku boss ruge atakapopata nafuu atakuja kumlilia Diamond warudi kama zamani, ni swala la muda tu
Uko sahihi kabisa chief ngoja warukeruke ila watakaa kwenye nafasi yao tu japo mimi sifatilii sana mambo ya sanaaNinavyojua hata EFM walipokuja hali ilikuwa hivi hivi baada ya muda mambo yakarudi kwenye equilibrium, Wasafi pia italeta changamoto hapa mwanzoni baadae itarudi kwenye position yake kama tu media yao haitakuwa na contents za kuvutia zaidi.
Clouds ina mizizi mikubwa.Wasafi media inabebwa kwasababu ya jina na umaarufu wa Diamond lakini hatijajua contents na consistency yao hapo baadae.
kwani wasiweze? kwani wao clouds wamewezaje kuwa na hizo show na wengine washindwe? kuna mtu alijua EATV itapotea?Unailinganisha clouds na wasafi kwa kutumia vigezo gani sasa??
Na watapotezwa kwenye lipi??
Do you think watakuwa na show ya asubuhi kuishinda PB??,,Njia panda,Jahazi,Sport Extra??
Efm iko vizuri wanafanya vizuri sokoni na kuna baadhi ya vipindi vyao ndo vinaongoza kwa kuwa na wasikilizaji wengi kama "Sports HQ".... Na dhumuni LA Efm siyo kuiangusha clouds no kuleta changamoto kwenye media!... Kama hivi wamegawana wasikilizaji maisha yanaenda!NB:Clouds wamefanya kazi kufika hapo walipo wasafi wanafikiri porojo za kwenye mitandao zitawapush,wajipange kweli!Yani hizi zinaitwa nguvu za soda kama EFM ilivyokuja watu wakasema kwisha Clouds baada ya miaka sasa hadi watu washaanza usiifananishe EFm na WCB.
Huu ni upepo utapita tu na itakua media ya kawaida tu kama ilivyo EFM...
Ndicho ninachosema sasa hivi wako moto kwasababu ya mzuka na madongo mzuka ukiisha watu watasahau kama wanavyosahau matukio muhimu tuEfm iko vizuri wanafanya vizuri sokoni na kuna baadhi ya vipindi vyao ndo vinaongoza kwa kuwa na wasikilizaji wengi kama "Sports HQ".... Na dhumuni LA Efm siyo kuiangusha clouds no kuleta changamoto kwenye media!... Kama hivi wamegawana wasikilizaji maisha yanaenda!NB:Clouds wamefanya kazi kufika hapo walipo wasafi wanafikiri porojo za kwenye mitandao zitawapush,wajipange kweli!
Kama ni kweli WCB redio ya Kusaga basi utakuta hii tension baina ya Diamond, Ruge na CMG wameitengeneza makusudi ili redio na tv vikick halafu wanakuwa wanatazama wanacheka kabisa jinsi wanavyo control raia kama vile wana human remote controlYani Joseph Kusaga ajipigie mwenyewe magoti na kujiambia yaishe??
Sijui ww mke wa.pili wa kusaga ukajua sili za ndani kabisaKivipi wakati mmiliki ni mmoja!!?....nyinyi wafuasi ndo mnatoana ngeu yeye anajilia tu!
mnachezeshwa kiduku tu hapo...wake up brother. hiyo wasafi ni ya kusaga kama ilivyo clouds...hayo mengine ni mbinu za kibiashara tu.. sana sana atakayepata tabu ni efm! actually sababu za kuanzishwa wcb fm ni efm! CMG ndio baba wa burudani nchini alfa and omega hutaki jinyonge!WCB kwa sasa ni kama maji utake usitake utayanywa tu hata ukiwachukia utawaangalia kimya kimya tu. Ukweli ni kwamba Diamond platnumz na WCB nzima wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuiteka kona ya Mitandao ya kijamii kutokana na brand yao kuwa na Fan base kubwa na inaongoza kufwatiliwa na watu wengi.
Baada ya Diamond kuanzisha Wasafi festival imekuwa ni pigo kubwa kwa clouds, huku wakijikuta wanaanzisha vijembe kuwa wasafi wanateseka wakati wao wenyewe ndio wanateseka
Clouds kwasasa imekosa mvuto, ubuyu wote ulikuwa wcb sasa wamebaki wanatapatapa, ipo siku boss ruge atakapopata nafuu atakuja kumlilia Diamond warudi kama zamani, ni swala la muda tu
Hata mimi nina shangaa japo tarehe ni moja ila matukio yanafanyika mikoa miwili tofauti hata mashabiki hawawezi wagawanaRuge yuko wapi kwani?
Ila sioni sababu ya kugombana. Wao ni wasafi festival-Nagwanda, clouds ni Tigo fiesta dar. Sasa kama ni ushindani, wanashindania nini?
Hata mimi nina shangaa japo tarehe ni moja ila matukio yanafanyika mikoa miwili tofauti hata mashabiki hawawezi wagawana
kwani Efm Ipoje Kwa SasaEFM ilikuja hivo hivo.......
Ukianza lazima uanze kwa fujo ili ubakie sokoni
Sijawahi udhuria ila hata mimi sioni mantiki ya kushikana mashati maana ni matukio yanafanyika sehemu tofauti kabisaKuna watu wana ujinga mwingi sana. Halafu vyote mi hata sijui fiesta ni nini japo nina miaka mingi naisikia