Ipo siku Clouds FM itawapigia magoti WCB kukubali yaishe

Watanzania acheni kujaza sumu....

Clouds will remain Clouds..

Wasafi needs to keep it going.

Mijadala hii ya ulinganishi ni ya kipumbavu. Mkubwa atabaki kuwa mkubwa tu.

Wajinga wengi walishajaribu walinganisha malegendaries humu na wachipukizi.

Truth remains... Mkubwa heshima yake itabaki palepale.
 
Kunasiku nilimuona Q Chief anampigia magoti Bdzn apige nyimbo zake jamaa akagoma kwa hasira q chf akaamua kuacha mzk
 
Bure
 
TanZania kote hakuna redio ina coverage kama cloudsfm.nenda swanga mpanda musoma songea masasi bukoba kigoma na mikoa yote wapo.so kwa base ya wasikilizaji hakuna station itakuja kuikuta clouds.
Labda mtapiga kelele hapa mjini tu.
 
Very true. Binafsi nasubiri contents za radio siku za usoni ndio nitajua wamejipangaje. Ila nahisi watatake over sana.
 
Wana vipindi gani kwa mfano? Huwezi kusikiliza mziki siku nzima!
 
Sio kweli. Clouds mikoani inatetereka sana especially kwenye usikivu. Wanachangamoto nyingi nao za kudeal nazo. Radio one ndio wanacoverage kubwa na usikivu wa hali ya juu. Clouds wakirusha kipindi nje ya studio ndio huwa wanachekesha zaidi. Matangazo huwa yanakata hovyo hovyo.
TanZania kote hakuna redio ina coverage kama cloudsfm.nenda swanga mpanda musoma songea masasi bukoba kigoma na mikoa yote wapo.so kwa base ya wasikilizaji hakuna station itakuja kuikuta clouds.
Labda mtapiga kelele hapa mjini tu.
 
Hilo alosema mdau wala sio siri sema nyie washamba ndo hamtaki kuamini.... Hats hiyo frequency ya 88.9 ni ya kusaga kitambo ndo walikua wanaitumia kurushia matangazo ya coconut FM upande wa zanzibar.... Tatizo vijana mna mihemko
Sijui ww mke wa.pili wa kusaga ukajua sili za ndani kabisa
 
wewe umeandika nini mkuu😂😂 huna hoja kabisa
 
Tupo mjini siku nyingi wakati profesa Jay anajiita nigga J, kaa chini tuliza mshono think twice then fikiria clouds kabla ya kuwa anatumia 88.5 alikuwa anatumia frequency ipi kama sio 88.9 iweje WCB Waje kutumia ile ile "kusaga sio mtu mzuri jiulize kwa nn Bdozen apige tangazo la wasafi fm "time will tell "
 

Hivi diamond ndo mmiliki?
 

Utakuwa unaota mchana nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…