Upo mjini siku nyingi lakini haujui kitu na wewe .Tupo mjini siku nyingi wakati profesa Jay anajiita nigga J, kaa chini tuliza mshono think twice then fikiria clouds kabla ya kuwa anatumia 88.5 alikuwa anatumia frequency ipi kama sio 88.9 iweje WCB Waje kutumia ile ile "kusaga sio mtu mzuri jiulize kwa nn Bdozen apige tangazo la wasafi fm "time will tell "
Angekua mmiliki wangeshindwa kupiga hata nyimbo za jaydee? Waliogombana na jide ndo wamiliki.Utakuwa unaota mchana nini
Unafuatiliaga hata statistics za tcra kweli mkuu? Kuhusu media coverage.Sio kweli. Clouds mikoani inatetereka sana especially kwenye usikivu. Wanachangamoto nyingi nao za kudeal nazo. Radio one ndio wanacoverage kubwa na usikivu wa hali ya juu. Clouds wakirusha kipindi nje ya studio ndio huwa wanachekesha zaidi. Matangazo huwa yanakata hovyo hovyo.
Upo mjini siku nyingi lakini haujui kitu na wewe .
Tangazo gani la wasafi kapiga dozen. ??
Ile ni Sauti ya Ray mshana , alikuwaga CMG ila naw yuko WCB.
Kwaio clouds imezizidi tbc na radio free kwenye coverage?acha uongo wewe.TanZania kote hakuna redio ina coverage kama cloudsfm.nenda swanga mpanda musoma songea masasi bukoba kigoma na mikoa yote wapo.so kwa base ya wasikilizaji hakuna station itakuja kuikuta clouds.
Labda mtapiga kelele hapa mjini tu.
Inawezekana hujawahi toka hapo kwenu.Kwaio clouds imezizidi tbc na radio free kwenye coverage?acha uongo wewe.
Mbeya kuna redio ilikuwa inatumia masafa ya 93.2 lakini baadae Tcra wakaitoa wakaiweka radio one,kwaio ile redio inaitwa rock fm ni ya mengi?Hilo alosema mdau wala sio siri sema nyie washamba ndo hamtaki kuamini.... Hats hiyo frequency ya 88.9 ni ya kusaga kitambo ndo walikua wanaitumia kurushia matangazo ya coconut FM upande wa zanzibar.... Tatizo vijana mna mihemko
Ni Radio/TV gani hapa Tanzania ina vipindi vya maana unavyosema ?Nashangaa watu wanaolazimisha kuwa watu tunasikiliza wasafi wakati mm binafsi bado sijawahi hata kuifungulia hiyo channel.
Kwa vijana wengi wapenda muziki tu mtakuwa mko uko sababu hakuna cha maana mnachotaka kusikia ila kwa wengine tunaopenda kusikia vipindi vya maana kwasasa HV bado hatuwezi kuifuatilia mpk watakapo anza rasmi matangazo.
Cloud'shawana coverage yoyote kuzizidi redio free na tbc na hata radio one usijifanye wewe ndio umetembea tz nzima,kabla Cloud's haijaanza kujitanua 2005,wakati redio free walishafika uko zamani Sana.acha ushabiki wa hovyo hovyo be real.Inawezekana hujawahi toka hapo kwenu.
Embu uliza tcra,station gani ina coverage na base kubwa ya wasikilizaji?Cloud'shawana coverage yoyote kuzizidi redio free na tbc na hata radio one usijifanye wewe ndio umetembea tz nzima,kabla Cloud's haijaanza kujitanua 2005,wakati redio free walishafika uko zamani Sana.acha ushabiki wa hovyo hovyo be real.
Radio one walichukua frequency za rock fm Mbeya 93.2 so rock fm Mbeya ni ya mengi?hujui kuwa hujui.Tupo mjini siku nyingi wakati profesa Jay anajiita nigga J, kaa chini tuliza mshono think twice then fikiria clouds kabla ya kuwa anatumia 88.5 alikuwa anatumia frequency ipi kama sio 88.9 iweje WCB Waje kutumia ile ile "kusaga sio mtu mzuri jiulize kwa nn Bdozen apige tangazo la wasafi fm "time will tell "
Nasemaje hakuna Tangazo la Wasafi limetengenezwa na Dozen..Ujajua tangazo lipi Acha kukurupuka
huo umaarufu wa Diamond ndio utakaoiua Clouds kwa taarifa yako! Leo Messi au CR7 wakianzisha kitu dunia nzima ipo nyuma yao kwa sababu ya fanbase kubwa. Celebrities wengi dunian wamefanikiwa sana kwa sababu ya fanbase. Clouds, itapotea taratibu, toka WASAFI FM imeanza kurusha matangazo, hapa DSM karibu kila kona nayopita, nakuta watu wa rika zote wametune WASAFI FM.Ninavyojua hata EFM walipokuja hali ilikuwa hivi hivi baada ya muda mambo yakarudi kwenye equilibrium, Wasafi pia italeta changamoto hapa mwanzoni baadae itarudi kwenye position yake kama tu media yao haitakuwa na contents za kuvutia zaidi.
Clouds ina mizizi mikubwa.Wasafi media inabebwa kwasababu ya jina na umaarufu wa Diamond lakini hatijajua contents na consistency yao hapo baadae.
Io Cloud's yenu ni kweli ina fan base kubwa ila ni mjini tu,ukitoka mjini waliko vijana haina watu kule vijijini na kule vijijini ni tbc na redio free ndio zinasikika na kutamba.Embu uliza tcra,station gani ina coverage na base kubwa ya wasikilizaji?
Rejea heading ya uzi
Goodmorning
Nasemaje hakuna Tangazo la Wasafi limetengenezwa na Dozen..
Ni sauti ya Ray Mshana..
Tangazo hlo kaweka Raymond Mshana amehama clouds akachukuliwa wasafi..sio bdoznTupo mjini siku nyingi wakati profesa Jay anajiita nigga J, kaa chini tuliza mshono think twice then fikiria clouds kabla ya kuwa anatumia 88.5 alikuwa anatumia frequency ipi kama sio 88.9 iweje WCB Waje kutumia ile ile "kusaga sio mtu mzuri jiulize kwa nn Bdozen apige tangazo la wasafi fm "time will tell "
Unajua media si chakula au dawa kwamba ukila sambusa ukashiba huwezi kula kitumbua.WCB kwa sasa ni kama maji utake usitake utayanywa tu hata ukiwachukia utawaangalia kimya kimya tu. Ukweli ni kwamba Diamond platnumz na WCB nzima wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuiteka kona ya Mitandao ya kijamii kutokana na brand yao kuwa na Fan base kubwa na inaongoza kufwatiliwa na watu wengi.
Baada ya Diamond kuanzisha Wasafi festival imekuwa ni pigo kubwa kwa clouds, huku wakijikuta wanaanzisha vijembe kuwa wasafi wanateseka wakati wao wenyewe ndio wanateseka
Clouds kwasasa imekosa mvuto, ubuyu wote ulikuwa wcb sasa wamebaki wanatapatapa, ipo siku boss ruge atakapopata nafuu atakuja kumlilia Diamond warudi kama zamani, ni swala la muda tu