Ipo siku Clouds FM itawapigia magoti WCB kukubali yaishe

Upo mjini siku nyingi lakini haujui kitu na wewe .
Tangazo gani la wasafi kapiga dozen. ??
Ile ni Sauti ya Ray mshana , alikuwaga CMG ila naw yuko WCB.
 
Unafuatiliaga hata statistics za tcra kweli mkuu? Kuhusu media coverage.
 
Ujajua tangazo lipi Acha kukurupuka
Upo mjini siku nyingi lakini haujui kitu na wewe .
Tangazo gani la wasafi kapiga dozen. ??
Ile ni Sauti ya Ray mshana , alikuwaga CMG ila naw yuko WCB.
 
TanZania kote hakuna redio ina coverage kama cloudsfm.nenda swanga mpanda musoma songea masasi bukoba kigoma na mikoa yote wapo.so kwa base ya wasikilizaji hakuna station itakuja kuikuta clouds.
Labda mtapiga kelele hapa mjini tu.
Kwaio clouds imezizidi tbc na radio free kwenye coverage?acha uongo wewe.
 
Hilo alosema mdau wala sio siri sema nyie washamba ndo hamtaki kuamini.... Hats hiyo frequency ya 88.9 ni ya kusaga kitambo ndo walikua wanaitumia kurushia matangazo ya coconut FM upande wa zanzibar.... Tatizo vijana mna mihemko
Mbeya kuna redio ilikuwa inatumia masafa ya 93.2 lakini baadae Tcra wakaitoa wakaiweka radio one,kwaio ile redio inaitwa rock fm ni ya mengi?
 
Ni Radio/TV gani hapa Tanzania ina vipindi vya maana unavyosema ?
 
Inawezekana hujawahi toka hapo kwenu.
Cloud'shawana coverage yoyote kuzizidi redio free na tbc na hata radio one usijifanye wewe ndio umetembea tz nzima,kabla Cloud's haijaanza kujitanua 2005,wakati redio free walishafika uko zamani Sana.acha ushabiki wa hovyo hovyo be real.
 
Cloud'shawana coverage yoyote kuzizidi redio free na tbc na hata radio one usijifanye wewe ndio umetembea tz nzima,kabla Cloud's haijaanza kujitanua 2005,wakati redio free walishafika uko zamani Sana.acha ushabiki wa hovyo hovyo be real.
Embu uliza tcra,station gani ina coverage na base kubwa ya wasikilizaji?
Rejea heading ya uzi
Goodmorning
 
Radio one walichukua frequency za rock fm Mbeya 93.2 so rock fm Mbeya ni ya mengi?hujui kuwa hujui.
 
huo umaarufu wa Diamond ndio utakaoiua Clouds kwa taarifa yako! Leo Messi au CR7 wakianzisha kitu dunia nzima ipo nyuma yao kwa sababu ya fanbase kubwa. Celebrities wengi dunian wamefanikiwa sana kwa sababu ya fanbase. Clouds, itapotea taratibu, toka WASAFI FM imeanza kurusha matangazo, hapa DSM karibu kila kona nayopita, nakuta watu wa rika zote wametune WASAFI FM.

WASAFI FESTIVAL, haya ni mapinduzi mengine ktk burudani, ndio wanaweza kuwa na changamoto ya kupata wasanii wakubwa kwa sasa, but nakuambia hao WCB wenyewe, wanatosha kuandaa event na wakaperforme wenyewe tu, na uwanja wa Taifa ukajaa..!

Time will Tell
 
Embu uliza tcra,station gani ina coverage na base kubwa ya wasikilizaji?
Rejea heading ya uzi
Goodmorning
Io Cloud's yenu ni kweli ina fan base kubwa ila ni mjini tu,ukitoka mjini waliko vijana haina watu kule vijijini na kule vijijini ni tbc na redio free ndio zinasikika na kutamba.
 
Mtu vs Taasisi

Ila hata efm ilitikisa sana
 
Tangazo hlo kaweka Raymond Mshana amehama clouds akachukuliwa wasafi..sio bdozn
 
Acha kulinganisha Clouds na vitu vya Kipumbavu, labda nikupe historia kidogo upande wa radio za burudani. Wakati Clouds imeanzishwa haikuwa na mpinzani wa burudani kwa wakati huo akaja akaanzishwa East Africa radio na tv, akawepo na Kiss fm lakin muda ulivyozidi kwenda wakaanguka huku Clouds akiendelea kubaki kinara wa burudani Tanzania. Kaja E fm na singeli wasikilizaji ni boda boda na bajaji, hawana vipindi vyenye maudhui ya kupendeza. Kaja Wasafi anapiga muziki tu asubuhi jion na ndicho wengi mnachokifurahia, ila Maudhui ya vipindi vyao itakuwaje? Hatujui
 
Unajua media si chakula au dawa kwamba ukila sambusa ukashiba huwezi kula kitumbua.

Utakuwa na kipindi ukipendacho clouds na utakuwa na kipindi ukipendacho wasafi.

Hebu tazama ujio wa eatv tulisema star tv itakufa haikufa, ikaja clouds tukasema eatv itakufa haikufa hadi leo ipo, ikaja efm tukasema clouds itakufa chaajaba efm ndio kama inapotea.

Ujio wa wasafi utaondoa tu ile monopoly ya clouds lkn hauwezi kuiua clouds ndio baadhi ya vipindi vinaweza kufa au kubadilika kabisa lkn clouds haiwezi kufa, inayoweza kufa ni wasafi iwapo itaendelea kuegemea kwenye umaarufu wa diamond badala ya kujijenga wenyewe kupitia umaarufu wa diamond. Pindi tu umaarufu wa diamond utakapo kufa na yenyewe itakufa kama haitachukua hatua za kuanza kujitenga na diamond mapema diamond aitangaze tu na sio iwe kama kipindi cha maisha ya diamond.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…