It makes sense. Jux naye kuna muda kama anazama na kutoka.Actually Vee hajawahi kumpenda Jux. Hata akiongea kuhusu Jux si kwa mapenzi ni vile tu anamheshimu na anajua he is a good guy na uhusiano wao unamfaa kibiashara maybe.
Huyo EB ana mke lakini amezaa na mchepuko ambaye aliwahi kuwa Miss wa Mkoa fulani upo Kanda ya Ziwa. Anaitwa NF.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasiki Jux aliwahi mkaanga Mimi Mars hapo ndo ikawa balaaa... Lakini ugomvi ulianzaga serious kipindi kile Vanessa alipiga mapicha na Trey songz na Jux akajua hapo tayari nishaliwaa... Kwenye hii couple nilichogundua ni kuwa Vanessa ana over confidence sana... Yani hajalii kama Jux..
Naam. Kwa maneno machache tunaweza kuita 'Uvulana'.Huyu naye anajikuta kiwembe cha NACET kinakata hadi mamba.
Halafu sipendi wanaume walafi. Mtu kama Ruge ndo mwanaume wa kweli; wanawake wake wote type moja hadi unaweza muexcuse kuwa ni matamanio ama "weakness". Sio unakula mwenye tako hiha, shepu ya kichaga, kimbaumbau, wenye sura tu mwili haujulikani unaenda au unarudi, tukirudi kwa mkeo mwili wa simba. Ilimradi tu umekula.
Jackie (sijui inaandikwa hivyo) yupo jela huko China kwa kesi ya kukamatwa na dawa za kulevya. Miaka kadhaa sasa.
Ni video vixen. Fashion Model. Slay queen. Paper chaser na hardcore japo mrembo mno.
Alikuwa yupo na Jux kimapenzi kabla ya majanga. Jux alihamia kwa Vee baada ya Jackie kupata majanga.
Vee mcharuko. Jux mtulivu. Vee ana skendo ya kuliwa na Mbunge muhuni muhuni. Jina lake nalifupisha, EB.
Jux hana skendo ya kuchapa nje ya mahusiano yake na Vee.
Jackie na Jux (JJ) walipendana. Walipendana kweli kweli. Kesi ya Jackie ilikaa vibaya. Jux akaplay safe ili afanye mipango ya kumnusuru lakini ikashindikana.
Jux atamuacha Vee. Atarudi kwa Jackie.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahha.. ila wewe .Huyu naye anajikuta kiwembe cha NACET kinakata hadi mamba.
Halafu sipendi wanaume walafi. Mtu kama Ruge ndo mwanaume wa kweli; wanawake wake wote type moja hadi unaweza muexcuse kuwa ni matamanio ama "weakness". Sio unakula mwenye tako hiha, shepu ya kichaga, kimbaumbau, wenye sura tu mwili haujulikani unaenda au unarudi, tukirudi kwa mkeo mwili wa simba. Ilimradi tu umekula.
Mkuu hii ndio nimeisikia leo!!πWanasema in every relationship there is a third person waiting for breakup. Naona ndio kama huyu
Huyu naye anajikuta kiwembe cha NACET kinakata hadi mamba.
Halafu sipendi wanaume walafi. Mtu kama Ruge ndo mwanaume wa kweli; wanawake wake wote type moja hadi unaweza muexcuse kuwa ni matamanio ama "weakness". Sio unakula mwenye tako hiha, shepu ya kichaga, kimbaumbau, wenye sura tu mwili haujulikani unaenda au unarudi, tukirudi kwa mkeo mwili wa simba. Ilimradi tu umekula.
Nawewe umegongwa na babu tale?Vanesa hajatulia mpaka Diamond amekagonga gonga sana
Mwali umenifanya nicheke kwa sauti!! Yaani kuna wanaume walafi, tena walafi kwelikweliHuyu naye anajikuta kiwembe cha NACET kinakata hadi mamba.
Halafu sipendi wanaume walafi. Mtu kama Ruge ndo mwanaume wa kweli; wanawake wake wote type moja hadi unaweza muexcuse kuwa ni matamanio ama "weakness". Sio unakula mwenye tako hiha, shepu ya kichaga, kimbaumbau, wenye sura tu mwili haujulikani unaenda au unarudi, tukirudi kwa mkeo mwili wa simba. Ilimradi tu umekula.
Ulikuwa cameraman kipindi mwenzio anagongwa?[emoji15][emoji15]Vanesa hajatulia mpaka Diamond amekagonga gonga sana