Ipo siku Jux atamuacha Vee, atarudi kwa Jackie

Huyo EB ndio nani jamani?napokea jibu hata inbox
 
Hii thread inanikumbusha Albert Mangwear, She go a gwan. Enzi hizo ndio lilikuwa pini la club.
 
Ni suala la muda tu. Jacky took the fall kulinda interest zake na Jux na bimkubwa wake. Ishu za mtandao.

Wakati ule naandika Juma atamuacha Vanessa wengi hawakuelewa. Picha imeanza kujengeka sasa.
But Vanessa ndiye aliye muacha jux, ila kiukwel jux aende kwa Jack tyuuh now.
 
But Vanessa ndiye aliye muacha jux, ila kiukwel jux aende kwa Jack tyuuh now.

Jux ndiye alianza kumpotezea na kumbluetick Vanessa, kwa mujibu wa Vee mwenyeewe. Si unajua wanaume hatuachagi kwa matangazo, tunapiga matukio tu.
 
Jux ndiye alianza kumpotezea na kumbluetick Vanessa, kwa mujibu wa Vee mwenyeewe. Si unajua wanaume hatuachagi kwa matangazo, tunapiga matukio tu.
Tukio lenyewe ndio lile la video call records, na chatting za kimahaba za jux na yule msanii mwenzie wa kiume lol, but maelezo ya jux anasema vee ndo alianza kulog out.
 
Tukio lenyewe ndio lile la video call records, na chatting za kimahaba za jux na yule msanii mwenzie wa kiume lol, but maelezo ya jux anasema vee ndo alianza kulog out.
Ni nani huyo msanii wa kiume.
Lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…