Ipo siku life span ya binadamu itakuwa miaka 20, 'trend' inaonyesha hivyo

Ipo siku life span ya binadamu itakuwa miaka 20, 'trend' inaonyesha hivyo

ni kweli, sababu kubwa ni mabadiliko ya mazingira kunakofanywa na binadamu, uchafuzi wa mazingira nako kunapunguza life span, hewa chafu kutoka kwenye viwanda, magari, kukata miti, e.t.c. watu wa zamani waliishi miaka mingi kupita sasa hivi, wanyama wakubwa wa zamani kama dinosaurs wameshapotea,
 
Nafahamu ipo siku life expectancy ya binadamu itashuka toka miaka 100 hadi miaka 20. Ni suala la muda tu. Yaani mtu kaishi na kuzeeka sana ni miaka 20.

Nini mawazo yako?
kuna ukweli fulani...trend katika historia inaonesha watu wa zamani waliishi miaka mingi zaidi na kadri miaka inaenda mbele umri wa kuishi unapungua. Mwisho wa Dunia utakuwa Automatically.kama watu waliishi miaka 500, wakaishi miaka 300, wakaishi miaka 100...saizi kwa wote wenye umri chini ya miaka 70 kuja kufikia 80 ni issue....Mzee Mugabe tunamuona kaishi sana ila hata 100 hakufika, kipindi cha watu wanaishi miaka 500 mtu wa miaka 100 walikuwa wanamuona kwa ratio ambayo mtu wa miaka 30 anavyomuona mtoto wa miaka 6, kama ilivyo issue kuifikia miaka 100 hata hiyo miaka 6 itakuja kuwa issue hivyo hivyo sababu hata kipindi kile wanaishi miaka 500 mtu angesema mbeleni kuja kuishi miaka 100 itakuwa kazi wangeona kama haitawezekana na wangemshangaa na kwa ratio hiyo ndivyo tunavyoona haiwezekani baadae kuwa miaka 6(SITA) itakuwa kazi kuifikisha,ni suala la muda tu...naunga mkono hoja ya mleta mada.
 
kuna ukweli fulani...trend katika historia inaonesha watu wa zamani waliishi miaka mingi zaidi na kadri miaka inaenda mbele umri wa kuishi unapungua. Mwisho wa Dunia utakuwa Automatically.kama watu waliishi miaka 500, wakaishi miaka 300, wakaishi miaka 100...saizi kwa wote wenye umri chini ya miaka 70 kuja kufikia 80 ni issue....Mzee Mugabe tunamuona kaishi sana ila hata 100 hakufika, kipindi cha watu wanaishi miaka 500 mtu wa miaka 100 walikuwa wanamuona kama mtu wa miaka 30 anavyomuona mtoto wa miaka 5, kama ilivyo issue kuifikia miaka 100 hata hiyo miaka 5 itakuja kuwa issue hivyo hivyo,ni suala la muda tu...naunga mkono hoja ya mleta mada.
Ni suala la muda tu..
 
Back
Top Bottom