Ipo Siku Nitakuwa wa Kwanza Kuanzisha Kampeni ya Kuwakomboa Dada Zetu Wanaojiuza: Nitafanya Hivi

Umewaza vyema sana, siku ukiwa tayari naomba unishirikishe tuanze harambeeee
 
Ungeanza na waliolewa kwanza wanawanyima waume zao utamu, kwahiyo wanaume wanageuka kuwa wateja kwa hao wajasiria mwili, halafu uje kwa wateja wenyewe(wanaume) uwape njia mbadala ya kufanya pale wanaponyimwa, hapo hao akina dada watakosa wateja.

Kuna vijana hawajaoa na kutongoza ni changamoto ndio wanaopokea

Kuna vijana hapendi purukushani za mahusiano, hao madadapoa hawawezi kukuambia una kibamia wanajali umemwaga na hela yao wamepata, masimango ya ooh unamwaga haraka,kimoja kama cha kuku hayapo kwao tena utasifiwa kwa kufanya chap ili wakapiga dili zingine
 
Kabisa.Ndo ugumu uko hapo upatikani wa hela kwa malaya ni rahisi na nyingi anapata kuliko biashara.
 
Kabisa.Ndo ugumu uko hapo upatikani wa hela kwa malaya ni rahisi na nyingi anapata kuliko biashara.
Sio kazi halali. Tunataka dada zetu Mungu awajengee uwezo wa mambo mengine ambayo hayapingani na shughuli ambazo Mungu alituagiza tuzifanye. Sio kwamba wanapenda ila walisha amua kukubaliana na hali.
 
Hiyo biashara ni kongwe ulimwenguni hata Yesu ilimshinda kuisitisha..!!
 
Jana my sis alikua ananipa umbea wa mwanadada tunamfahamu, mumewe aliondoka akamuachia watoto wanne kwenye nyumba ya kupanga, aloo dada alipambana yule, mikopo, biashara holaaa, hatimae akavutwa sikio aende Kahama kujiuza, sis ananiambia amebadilika amependeza balaa, pesa anayo, familia yake kaihamishia huko huko, ameshaanza na ujenzi kwao tayari,
Nakubaliana nawe ukahaba unawatoa haraka kimaisha wanawake, hawawezi kuiacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…