Ipo siku tutaandaa mechi siku za sikukuu ya Christmas au Idd el Fitr Uwanja wa Taifa

Ipo siku tutaandaa mechi siku za sikukuu ya Christmas au Idd el Fitr Uwanja wa Taifa

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
TUJIULIZE MAMLAKA ZINAZOHUSIKA ZINAFAHAMU UNYETI UNAOENDA NA WATU WENYE IMANI KATIKA DINI

Shirikisho la cha Mpira Tanzania TFF kuamua kuendelea na ratiba zake bila kujali imani za wachezaji wake kuadhimisha imani zao katika katika siku muhimu kiimani ni bahati mbaya au ni muelekeo wa kudumaza imani za watu.

Ni hakika jambo hili lina wadau wengi ambao wamepitiwa na kuamua siku iwe ya Idd El Fitr au Christmas n.k shughuli za michezo ambazo wachezaji ni waajiriwa wanahitaji kupumzika kama ambavyo kalenda za utambuzi wa siku za mapumziko ya kiserikali inavyobainisha.


MAKALA YA MWAKA 2014 ILITABIRI

Siku hizi Uwanja wa Taifa unafanyika matamasha mbalimbali ambayo yalipaswa kufanyika Ukumbi wa Diamond Jubilee au Viwanja vya Leaders. Hakuna heshima pale. Uwanja wetu haujafanywa kuwa kitu maalumu.

Tamasha la Idd El Fitr litafanyika hapo. Tamasha la Matumaini litafanyika hapo. Tamasha la Pasaka na Krismasi linafanyika hapo.

Soma makala hii ya Ipo siku tutaandaa ‘Birthday Party’ Uwanja wa Taifa 2014 : kwa hisani kubwa ya :
 
Haki ya mapumziko ni takwaa la kisheria ikijumuisha na siku za sikukuu za kitaifa, kidini na kijamii

Fahamu haki ya likizo ya lazima na malipo yake kwa mwajiriwa


Source : wakili tv

Jan 01: New Year's Day​

Jan 12: Zanzibar Revolution Day​

Apr 07: Karume Day​

Apr 15: Good Friday​

Apr 17: Easter Sunday​

Apr 18: Easter Monday​

Apr 26: Union Day​

May 01: Labour Day​

May 03: Eid ul-Fitr Holiday​

May 03: Eid ul-Fitr​

Jul 07: Saba Saba Day​

Jul 10: Eid El Haj​

Aug 08: Nane Nane (Farmer's) Day​

Aug 23: Public Holiday​

Oct 09: Maulid Day​

Oct 14: Mwalimu Nyerere Day​

Dec 09: Independence Day​

Dec 25: Christmas Day​

 
Sasa hizi ndio siasa zisizo na kichwa wala miguu Xmas au Eid inazuia nini? Kumbuka michezo ni shughuli ya kuburudisha mashabiki huenda uwanjani kufurahi na sikukuu ni moja ya hizo siku hua na muda zaidi.

Yes wachezaji wanafamilia ila hata Madaktari, Watangazaji, Wahudumu wa Bar na Hotels pia wanafamilia na hawapumziki sababu ya sikukuu, kuna siku zao za kupumzika so as long wanalipwa stahiki zao hakuna haja ya hizi siasa za dini.
 
Ratiba ya Michezo Miwili ya ligi kuu Tanzania bara , Azam Fc dhidi ya Yanga Sc, Utakaochezwa Tarehe 25/12/ 2022 Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini DSM na KMC dhidi ya Simba Sc Utakaochezwa Tarehe 26/12 Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.22

DAR DERBY SIKU YA CHRISTMAS AZAM FC VS YOUNG AFRICANS

 
hakuna haja ya hizi siasa za dini.

Na ndiyo angalizo kwa TFF na timu zote kuwa wafanye mambo yote bila kubagua ili mradi wanafuata sheria, mila, desturia na utamaduni ambazo zingine hazijaandikwa
 
Ila waafrika dini zimetufikisha kwenye hatua mbaya sana.
Mbona hata ligi za Ulaya mechi huwa zinachezwa siku za sikukuu?
 
30 December 2022

Bodi ya Yabadili Ratiba Ya Ligi Kuu 2022 / 2023 Kupisha Mapinduzi Cup

 
Back
Top Bottom