Pre GE2025 Ipo siku yaja kwa huyu mwenezi msipomfunda CCM na Rais Samia mtavuna mabua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tafuteni Rais atayoyotatua shida; kero za Watanzania milioni 60 kuliko familia zenu.
 
Uongozi ni kuchanga karata;
1. Utafika wakati ukimuondoa Makonda unaharibu

2. Ukibaki na Makonda unaharibu.

Nini kifanyike??😂😂😂😂

Anatakiwa kukaangwa kwa mafuta yake.

How?
ccm ni wataalamu wa kutega mamba watAmAliZanA naye kijanja tulia😂😂
 
Kumbe kushuka chini kwa walionyimwa haki na kusikiliza vilio vya watu wasio sikilizwa kwako ni nongwa..
Kivuli cha Magufuli bado kinakunyima usingizi?
Unasema watendaji wafanye kazi bila woga kwani kuwanyima haki wananchi ndio kufanya kazi bila woga? Nchi hii Ina wajinga wengi sana ambao wamebahatika kua na elimu.
 
Makonda ni mkuu wa kitengo cha Propaganda na uenezi taifa wala msiangaike naye.
 
Umenena huyu si mtu kns
 
Duh 😏

Kwa hiyo wewe tukueleweje Sasa.
Unataka Serikali isiyowajibisha watumishi wake,au Serikali inayokumbatia ushenzi na mauwozo ya utendaji!.
Watu dizain yako,ndo mmelifikishaTaifa katika wakati magumu.
Mlaaniwe hakika,elimu yako haijalisaidia Taifa,bali unajinufaisha.
Acha jamaa awanyooshe,hivi hamwonagi aibu lakini.
Makonda endelea kukazia hapo hapo,achana na Hawa POPO.
 
Daah.
 
Umesema
 
ushauri ulitolewa jumapili na umefanyiwa kazi jumapili ya pasaka..Amen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…