Kweli wenye visa watu,Kampuni ya IPP Media amepiga stop habari zozote zinazohusu klabu ambayo kwa sasa ni gumzo hapa Afrika mashariki na kati kwa ushindi mfululizo.
Kwa mfano ushindi wa simba dhidi ya Prison haujatangazwa kabisa, zaidi ya kurukia mechi ya kesho kati ya Yanga na Manyema Fc, nadhani sio haki kwani mnawanyima haki wasikilizaji na watazamaji wenu. Suala la kuonyesha live ni kweli lazima kuwe na makubaliano kati ya pande husika.
Kweli tutafika hivyo?
Kwa mfano ushindi wa simba dhidi ya Prison haujatangazwa kabisa, zaidi ya kurukia mechi ya kesho kati ya Yanga na Manyema Fc, nadhani sio haki kwani mnawanyima haki wasikilizaji na watazamaji wenu. Suala la kuonyesha live ni kweli lazima kuwe na makubaliano kati ya pande husika.
Kweli tutafika hivyo?