Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Usilie ndio kwanza tunaanzaKuna kilimo gani huko singida huu mwezi wa 6 hadi kupelekea wananchi kutokwenda mashambani kisa kumsikiliza huyo bwana asiye na staha mdomoni kwake.?
Sema wananchi waliokosa pa kwenda wajitokeza kumshangaa Lissu
Nimekudharau sanahuyu jamaa hana akili tunataka chama pinzani pinzani kweli huyu. kichas tu. we can't support him ,
Mkipata wabunge watano 2025 niite mbwa, niko huku mpigamiti nafundisha wanafunzi wa darasa la tatuUsilie ndio kwanza tunaanza
Hatuhangaiki na Wajinga, wewe endelea kutumikishwa lakini ziara wanaenda WasaniiMkipata wabunge watano 2025 niite mbwa, niko huku mpigamiti nafundisha wanafunzi wa darasa la tatu
Utamaduni wa mwafrika kupokea wageni halafu kipindi cha kura anabaki yeye na makoti yake!Tulionya Mapema sana kwamba Moto wa Chadema ukishawashwa hakuna wa kuuzima, na wala hatutakuwa na Mswalie Mtume, Elimu itatolewa , Makombora yatavurumishwa na Spana zotapigwa bila Huruma yoyote ile.
Hapa ni Kijiji cha Kiselya huko Iramba, nyumbani kwao kabisa Mwigulu, na Muda wa Mkutano Huu ni saa 3 Asubuhi kwa saa za Tanzania, Hapa Lissu alikuwa anawaambia Wananchi hawa kwamba Umasikini unaowakabili si kazi ya Mungu, unatokana na dhuluma za kinyama za viongozi wa ccm na watawala wake.
Kimsingi wananchi hao wameelewa mno somo la leo
View attachment 3006150View attachment 3006152View attachment 3006153
ANC walikuwa na mawazo mgando kama weweUtamaduni wa mwafrika kupokea wageni halafu kipindi cha kura anabaki yeye na makoti yake!
Naona umepaniki,hata wewe lissu na dj mboye wanakutumikisha,mafao wanakula na wake zaoHatuhangaiki na Wajinga, wewe endelea kutumikishwa lakini ziara wanaenda Wasanii
Kazi ya Ukombozi InaendeleaTulionya Mapema sana kwamba Moto wa Chadema ukishawashwa hakuna wa kuuzima, na wala hatutakuwa na Mswalie Mtume, Elimu itatolewa , Makombora yatavurumishwa na Spana zotapigwa bila Huruma yoyote ile.
Hapa ni Kijiji cha Kiselya huko Iramba, nyumbani kwao kabisa Mwigulu, na Muda wa Mkutano Huu ni saa 3 Asubuhi kwa saa za Tanzania, Hapa Lissu alikuwa anawaambia Wananchi hawa kwamba Umasikini unaowakabili si kazi ya Mungu, unatokana na dhuluma za kinyama za viongozi wa ccm na watawala wake.
Kimsingi wananchi hao wameelewa mno somo la leo
View attachment 3006150View attachment 3006152View attachment 3006153
Hatershuyu jamaa hana akili tunataka chama pinzani pinzani kweli huyu. kichas tu. we can't support him ,
He is a victorItoshe kusema si kila mtu anaweza kuwa mwanaharakati.
Tundu Lissu walioenda kumuona kipindi yupo nairobi wanasema wao ndio walitiwa moyo baada ya wao wazima kumtia moyo mgonjwa.
Huyu jamaa mbali na yote ni mtu shujaa asiyejua kukata tamaa na kile anachokiamini na kukijua.
Aliposema ndege zitakamatwa na zinakamatwa kweli akasema tutawalipa wazungu mliovunja mikataba ya madini ki babe mbona tunalipa ,kichaa huyu ww upo Taifa lipihuyu jamaa hana akili tunataka chama pinzani pinzani kweli huyu. kichas tu. we can't support him ,
Tunawahitaji Vichaa wengi wa namna hii Tanzani hii kama hiyo ndio definition ya maccmAliposema ndege zitakamatwa na zinakamatwa kweli akasema tutawalipa wazungu mliovunja mikataba ya madini ki babe mbona tunalipa ,kichaa huyu ww upo Taifa lipi
Tundu Antipas Mugway Lissu; President of the United Republic of Tanzania (2025-2030)Tulionya Mapema sana kwamba Moto wa Chadema ukishawashwa hakuna wa kuuzima, na wala hatutakuwa na Mswalie Mtume, Elimu itatolewa , Makombora yatavurumishwa na Spana zotapigwa bila Huruma yoyote ile.
Hapa ni Kijiji cha Kiselya huko Iramba, nyumbani kwao kabisa Mwigulu, na Muda wa Mkutano Huu ni saa 3 Asubuhi kwa saa za Tanzania, Hapa Lissu alikuwa anawaambia Wananchi hawa kwamba Umasikini unaowakabili si kazi ya Mungu, unatokana na dhuluma za kinyama za viongozi wa ccm na watawala wake.
Kimsingi wananchi hao wameelewa mno somo la leo
View attachment 3006150View attachment 3006152View attachment 3006153
π π πhuyu jamaa hana akili tunataka chama pinzani pinzani kweli huyu. kichas tu. we can't support him ,
Naona umepaniki,hata wewe lissu na dj mboye wanakutumikisha,mafao wanakula na wake zao