Pre GE2025 Iramba: Tundu Lissu aanza ziara za Vijijini, Wananchi wakusanyka kumsikiliza

Pre GE2025 Iramba: Tundu Lissu aanza ziara za Vijijini, Wananchi wakusanyka kumsikiliza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna kilimo gani huko singida huu mwezi wa 6 hadi kupelekea wananchi kutokwenda mashambani kisa kumsikiliza huyo bwana asiye na staha mdomoni kwake.?


Sema wananchi waliokosa pa kwenda wajitokeza kumshangaa Lissu
Asingekuwa anafanya harakati zake za hizi mngeongea tu yaani Wabongo tuna utahira fulani hivi kichwani
 
Mkianza kumsifia lissu tutajua ameanza kutusaliti ila kwakuwa maccm hamumpendi basi hatuna shaka nayeye
 
Kuna kilimo gani huko singida huu mwezi wa 6 hadi kupelekea wananchi kutokwenda mashambani kisa kumsikiliza huyo bwana asiye na staha mdomoni kwake.?

Sema wananchi waliokosa pa kwenda wajitokeza kumshangaa Lissu
Kuna kiumbe kinakuzuia kuwaza?Waza tu hadi kesho.
 
Tulionya Mapema sana kwamba Moto wa Chadema ukishawashwa hakuna wa kuuzima, na wala hatutakuwa na Mswalie Mtume, Elimu itatolewa, Makombora yatavurumishwa na Spana zotapigwa bila Huruma yoyote ile.

Hapa ni Kijiji cha Kiselya huko Iramba, nyumbani kwao kabisa Mwigulu, na Muda wa Mkutano Huu ni saa 3 Asubuhi kwa saa za Tanzania, Hapa Lissu alikuwa anawaambia Wananchi hawa kwamba Umasikini unaowakabili si kazi ya Mungu, unatokana na dhuluma za kinyama za viongozi wa ccm na watawala wake.

Kimsingi wananchi hao wameelewa mno somo la leo

Zaidi ya matusi, uzushi, upotoshaji hatawasaidia watabaki na umaskini wao. Lissu ni km kichaa flani. Yeye akiwa mbunge amewasaidia nini wapiga kura wake? Duniani kote ukiacha ujenzi wa miundo mbinu umaskini wako unautoa mwenyewe. Serikali ndio inataka hela kutoka kwa mwananchi
 
Tulionya Mapema sana kwamba Moto wa Chadema ukishawashwa hakuna wa kuuzima, na wala hatutakuwa na Mswalie Mtume, Elimu itatolewa, Makombora yatavurumishwa na Spana zotapigwa bila Huruma yoyote ile.

Hapa ni Kijiji cha Kiselya huko Iramba, nyumbani kwao kabisa Mwigulu, na Muda wa Mkutano Huu ni saa 3 Asubuhi kwa saa za Tanzania, Hapa Lissu alikuwa anawaambia Wananchi hawa kwamba Umasikini unaowakabili si kazi ya Mungu, unatokana na dhuluma za kinyama za viongozi wa ccm na watawala wake.

Kimsingi wananchi hao wameelewa mno somo la leo

Mbona wananchi wenyewe hawafiki hata 100? Amepuuzwa
 
Kuna kilimo gani huko singida huu mwezi wa 6 hadi kupelekea wananchi kutokwenda mashambani kisa kumsikiliza huyo bwana asiye na staha mdomoni kwake.?

Sema wananchi waliokosa pa kwenda wajitokeza kumshangaa Lissu
Una umia ukiwa unakata gogo la uwele huko Pai Kondoa
 
Back
Top Bottom