Asingekuwa anafanya harakati zake za hizi mngeongea tu yaani Wabongo tuna utahira fulani hivi kichwaniKuna kilimo gani huko singida huu mwezi wa 6 hadi kupelekea wananchi kutokwenda mashambani kisa kumsikiliza huyo bwana asiye na staha mdomoni kwake.?
Sema wananchi waliokosa pa kwenda wajitokeza kumshangaa Lissu
π π πNaona umepaniki,hata wewe lissu na dj mboye wanakutumikisha,mafao wanakula na wake zao
ANC ipo south africa na hapa ni bongo land mtu anahongwa kreti na lift ya makambako unafikiri hao ni watu makini kweli!ANC walikuwa na mawazo mgando kama wewe
Nje ya madaANC ipo south africa na hapa ni bongo land mtu anahongwa kreti na lift ya makambako unafikiri hao ni watu makini kweli!
Kuna kiumbe kinakuzuia kuwaza?Waza tu hadi kesho.Kuna kilimo gani huko singida huu mwezi wa 6 hadi kupelekea wananchi kutokwenda mashambani kisa kumsikiliza huyo bwana asiye na staha mdomoni kwake.?
Sema wananchi waliokosa pa kwenda wajitokeza kumshangaa Lissu
Haujui kitu!Nje ya mada
Zaidi ya matusi, uzushi, upotoshaji hatawasaidia watabaki na umaskini wao. Lissu ni km kichaa flani. Yeye akiwa mbunge amewasaidia nini wapiga kura wake? Duniani kote ukiacha ujenzi wa miundo mbinu umaskini wako unautoa mwenyewe. Serikali ndio inataka hela kutoka kwa mwananchiTulionya Mapema sana kwamba Moto wa Chadema ukishawashwa hakuna wa kuuzima, na wala hatutakuwa na Mswalie Mtume, Elimu itatolewa, Makombora yatavurumishwa na Spana zotapigwa bila Huruma yoyote ile.
Hapa ni Kijiji cha Kiselya huko Iramba, nyumbani kwao kabisa Mwigulu, na Muda wa Mkutano Huu ni saa 3 Asubuhi kwa saa za Tanzania, Hapa Lissu alikuwa anawaambia Wananchi hawa kwamba Umasikini unaowakabili si kazi ya Mungu, unatokana na dhuluma za kinyama za viongozi wa ccm na watawala wake.
Kimsingi wananchi hao wameelewa mno somo la leo
Mbona wananchi wenyewe hawafiki hata 100? AmepuuzwaTulionya Mapema sana kwamba Moto wa Chadema ukishawashwa hakuna wa kuuzima, na wala hatutakuwa na Mswalie Mtume, Elimu itatolewa, Makombora yatavurumishwa na Spana zotapigwa bila Huruma yoyote ile.
Hapa ni Kijiji cha Kiselya huko Iramba, nyumbani kwao kabisa Mwigulu, na Muda wa Mkutano Huu ni saa 3 Asubuhi kwa saa za Tanzania, Hapa Lissu alikuwa anawaambia Wananchi hawa kwamba Umasikini unaowakabili si kazi ya Mungu, unatokana na dhuluma za kinyama za viongozi wa ccm na watawala wake.
Kimsingi wananchi hao wameelewa mno somo la leo
Una umia ukiwa unakata gogo la uwele huko Pai KondoaKuna kilimo gani huko singida huu mwezi wa 6 hadi kupelekea wananchi kutokwenda mashambani kisa kumsikiliza huyo bwana asiye na staha mdomoni kwake.?
Sema wananchi waliokosa pa kwenda wajitokeza kumshangaa Lissu