Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,180
- 1,291
kama unakumbuka zile ngumi za zamani za utoto wetu unaanza kwa kuputa mchanga, kuchora mstali na kujipanga kunyukana .
leo hii Iran na wapambe wake wameputa mchanga kupigana na na Israel. Basi sisi tuwaache tukae mzunguko na kushangilia.
kula! kula! kula eeeh ! maana El Jazeera hawakawii kuonesha picha za propaganda kuwa watoto na wanawake hufa wengi ili dunia isitishe minyukano.
leo hii Iran na wapambe wake wameputa mchanga kupigana na na Israel. Basi sisi tuwaache tukae mzunguko na kushangilia.
kula! kula! kula eeeh ! maana El Jazeera hawakawii kuonesha picha za propaganda kuwa watoto na wanawake hufa wengi ili dunia isitishe minyukano.