Iran, Hisbollah na HAMAS wameputa mchanga waachwe wapigwe tuu

Iran, Hisbollah na HAMAS wameputa mchanga waachwe wapigwe tuu

Tango73

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2008
Posts
2,180
Reaction score
1,291
kama unakumbuka zile ngumi za zamani za utoto wetu unaanza kwa kuputa mchanga, kuchora mstali na kujipanga kunyukana .
leo hii Iran na wapambe wake wameputa mchanga kupigana na na Israel. Basi sisi tuwaache tukae mzunguko na kushangilia.

kula! kula! kula eeeh ! maana El Jazeera hawakawii kuonesha picha za propaganda kuwa watoto na wanawake hufa wengi ili dunia isitishe minyukano.
 
Back
Top Bottom