Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Asante kwa msaada wako.Maana nilibaki nimebung'aa kama pera.Uliyemquote mbona hajazungumzia dini wala kucomment kwa mlengo wa kidini!? Naona wewe ndo una vimelea vya dini maana umeshindwa kupinga hoja yake bila kuhusisha dini! Hizo dini za kuletewa zisifunge fikra zetu, tujadili mambo kwa uhalisia wake.
Kupata hivi vichekesho hua mna bonyeza ngapi ?Iran IMESEMA kwamba unaweza KUISHAMBULIA marekani iwapo tu marekani itaendelea kuisaidia Israel kulipa kisasi ,
Iran bila uoga imetamka wazi wazi tutaipiga marekani vibaya mno na linaweza kuwa shambulio la kihistoria endapo watazidi kuwasaidia Israel kutupiga sisi,
IMESEMA Iran,
Vyombo mbali mbali vya kijasusi vimesema kuwa iran inapewa kiburi na washirika wake wakuu waliopo pembeni ambao ni urusi, china na north Korea,
Washirika wa Iran wapo tayari muda wote kuisaidia Iran pindi tu vita vitakapoanza baina ya marekani Israel dhidi ya Iran,
Huu unaweza kuwa mgogoro mkubwa utakaoleta ww3
Ni "hutba" ya Ayatollah "Ally Khamenei" akiwa chimbo.Kupata hivi vichekesho hua mna bonyeza ngapi ?
Iran kasema atapiga visima vya mafuta vilivyo chini ya US katika nchi za kiarabu zote sio kumpiga US kwake. Tena ni pindi tu Israel ikijibu shambulio la juzi.Iran IMESEMA kwamba unaweza KUISHAMBULIA marekani iwapo tu marekani itaendelea kuisaidia Israel kulipa kisasi ,
Iran bila uoga imetamka wazi wazi tutaipiga marekani vibaya mno na linaweza kuwa shambulio la kihistoria endapo watazidi kuwasaidia Israel kutupiga sisi,
IMESEMA Iran,
Vyombo mbali mbali vya kijasusi vimesema kuwa iran inapewa kiburi na washirika wake wakuu waliopo pembeni ambao ni urusi, china na north Korea,
Washirika wa Iran wapo tayari muda wote kuisaidia Iran pindi tu vita vitakapoanza baina ya marekani Israel dhidi ya Iran,
Huu unaweza kuwa mgogoro mkubwa utakaoleta ww3
Ikitajwa North Korea tu shoga mkuu wenu USA ana kimbia mafichoniWairan wana vituko sana.Kwa hiyo wataichakaza USA?
"Shoga mkuu"!Kwa hiyo umewafira na kuwasaga USA wote kuthibitisha ushoga wao?Jadili hoja.Huo ushoga waachie wenyewe.Ikitajwa North Korea tu shoga mkuu wenu USA ana kimbia mafichoni
Nimecheka!!! Iran anatafuta kujimalizaIran IMESEMA kwamba unaweza KUISHAMBULIA marekani iwapo tu marekani itaendelea kuisaidia Israel kulipa kisasi ,
Iran bila uoga imetamka wazi wazi tutaipiga marekani vibaya mno na linaweza kuwa shambulio la kihistoria endapo watazidi kuwasaidia Israel kutupiga sisi,
IMESEMA Iran,
Vyombo mbali mbali vya kijasusi vimesema kuwa iran inapewa kiburi na washirika wake wakuu waliopo pembeni ambao ni urusi, china na north Korea,
Washirika wa Iran wapo tayari muda wote kuisaidia Iran pindi tu vita vitakapoanza baina ya marekani Israel dhidi ya Iran,
Huu unaweza kuwa mgogoro mkubwa utakaoleta ww3
Huwaamini?Iran ni supapawa.Watawapiga USA hadi ushangae.Nimecheka!!! Iran anatafuta kujimaliza
Marekani ilipigwa VietnamIran kumpiga mmarekani naona hii ni futuhi
Tupe source ya hii taarifa
Wamerusha Makombora 180 yaliyotua ni 20 na hapo ni 2000+ kms.Wairan wana vituko sana.Kwa hiyo wataichakaza USA?
Movie zime waaribuMarekani ilipigwa Vietnam
Tatizo lenu ni utoto hivyo hamjui mengi kuhusu Marekani
Marekani ilipigwa Vietnam
Tatizo lenu ni utoto hivyo hamjui mengi kuhusu Marekani
Ulikuwa na umri gani na vita ilikuwa mwaka gani?Usijikweze kwa sababu una chuki tu na Marekani.Movie zime waaribu
Safi sna maana tumecboka na siasa za ubwanyenyeIran IMESEMA kwamba unaweza KUISHAMBULIA marekani iwapo tu marekani itaendelea kuisaidia Israel kulipa kisasi ,
Iran bila uoga imetamka wazi wazi tutaipiga marekani vibaya mno na linaweza kuwa shambulio la kihistoria endapo watazidi kuwasaidia Israel kutupiga sisi,
IMESEMA Iran,
Vyombo mbali mbali vya kijasusi vimesema kuwa iran inapewa kiburi na washirika wake wakuu waliopo pembeni ambao ni urusi, china na north Korea,
Washirika wa Iran wapo tayari muda wote kuisaidia Iran pindi tu vita vitakapoanza baina ya marekani Israel dhidi ya Iran,
Huu unaweza kuwa mgogoro mkubwa utakaoleta ww3
Acha vibweka.Iran haijakosea! Kwa sasa Iran iko juu kwa technology ya kutengeneza Hypersonic na Balistic missile na drones.