4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
yaan wafuga uchebe watatu wanajuwa kuliko nchi nzima ? uturuki hawaish ivo ila ni waislam swafiiAmna dhuluma hapo, ila wanajidhulumu wenyewe....yaan kujihifadh iwe ni dhuluma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaan wafuga uchebe watatu wanajuwa kuliko nchi nzima ? uturuki hawaish ivo ila ni waislam swafiiAmna dhuluma hapo, ila wanajidhulumu wenyewe....yaan kujihifadh iwe ni dhuluma?
Tuongee Ile kiafrika kuwa na akili huru bana mbona kila watu Wana tamaduni zao hata wajapani Wana vyakula ,mavazi yao na lugha yao wanaishi vizuri. Yaani hizi dini zimekuja kutugawanya.punguza mapepe
zinakuwaj tamaduni zao wkt raia hawazitak ? unashindwa tofautisha tamaduni na milaTuongee Ile kiafrika kuwa na akili huru bana mbona kila watu Wana tamaduni zao hata wajapani Wana vyakula ,mavazi yao na lugha yao wanaishi vizuri. Yaani hizi dini zimekuja kutugawanya.
Kuwa huru sio lazima uambiwe kilicho sahihi ama umeshashikwa akili wanazo wazungu wa ulaya kuwa ukuvaa suti ndio vazi la heshima ,ukiitwa majina yao na ukiwa na dini zao pia ukila vyakula vyao ndio Mungu atakuona u mtakatifu na utailamba pepo.
We unaish Uturukiyaan wafuga uchebe watatu wanajuwa kuliko nchi nzima ? uturuki hawaish ivo ila ni waislam swafii