Iran threatens to pull out of Olympics because London 2012 logo spells 'Zion'

Iran threatens to pull out of Olympics because London 2012 logo spells 'Zion'

Kujitowa kwa Wa IRAN Kwenye Michezo ya Olimpic London wewe kunakuuma kitu gni mpaka umeamuwa kuweka hi Threat? Acha UDINI wako na mambo ya Michezo Waache Wajitowe hao Wa IRAN wewe angalia Nchi yako Tanzania Miaka iliyopita kwenye Michezo ya Olimpic mumefanya nini cha Maana? Kama sio Utumbo Mtupu tena huo Utumbo ni wa Paka haufai hata kuliwa na Binadamu.

Yakhe vipi jabza namna hii mpaka unapata kigugumizi cha vidole? Khaaaa

Yakhe weye ni Muiran?
 
Yakhe vipi jabza namna hii mpaka unapata kigugumizi cha vidole? Khaaaa

Yakhe weye ni Muiran?

Iran can have a break. Who cares bout them. I am a Jew and I don't care about Iran.
 
Whats up with this "pulling out"?
 
Back
Top Bottom