Iran wachagua Ibrahim Raisi ambaye ameshaua watu elfu 30

unateseka ukiwa huko Uyahudi ISRAEL ama ukiwa uyahudini BARIADI[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J5108 using JamiiForums mobile app
 
unateseka ukiwa wapi nendeni mukantoe au waagizeni Wuu es ei wakamtoe [emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J5108 using JamiiForums mobile app
 
nenda kamtoe ukae ww [emoji23][emoji23][emoji857]

Sent from my SM-J5108 using JamiiForums mobile app
 
Mtu mbaya anapimwa kwa kuwekewa vikwazo na marekani? Kama jina lake chafu ndani ya iran, waliomchagua ni kina nani... Naomba nieleweshwe hapo kitu gani kimetokea mkuu
mkuu naona uko na uelewa mdogo sana tena sana, sijui tatizo ni ukosefu wa elimu au nini? kama unajua kile mleta mada ameadika hungeuliza maswali ya kijinga kaa hii umeuliza
 

Go to Iran, Be A Millionaire for Just 31 USD​

 
Rais wa Irani wewe anakuhusu nini?
Ndio nyie kila siku munalia nyau kuhusu ajira.
 
Iran wanajitekenya kisha wanacheka wenyewe... Marekani wenyewe hawana hata habari kama kuna mtu kachaguliwa uraisi Iran
Kama ^Marekani^ hapa unamaanisha Mlaleo , basi uko sahihi 100% na pia nakuunga mkono huu na huu huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…