Iran wawaambia Urusi kuwa ni wanafiki - Wamewaacha peke yao kwenye shida

 
Iran haongei sana hizo propaganda za media kawaachia mfanye nyie Operation true promise 3 inatekelezwa muda wowote kwanzia sasa na tutashuhudia Makombora yakipiga target live bila chenga siyo yale makombora ya Israel yaliyorushwa na ndege yakatunguliwa yote
 
adolf hitler aliwauwa waisrael milioni 6 na huyo mungu wao hakushuka kuja kuwasaidia juzi tu hapa hamas aliwauwa waisrael elfu moja na kuwateka wengine 250 na bado mungu wao hakushuka kuja kuwasaidia.
 
🤣
 
ni kweli mkuu maraisi wote duniani ni undercover wa mosad hata bashar al asad ni undercover wa mosad hata tiktok ni ya mosad.
Ni kweli ikuwa ya wachina wameinunua sasa wao kama walivyochukua license ya kuwatengenezea Hezbullah Pagers kutoka kwa wakorea.
 
Sponsor wa Magaidi si aliyataka mwenyewe analialia nini?!
Jifunze kujadili vitu vizito usilete mipasho vita ikimalizika utajiunga na fundi la tarab au bai koko busara kama Huna cha kulisha ubongo unapita kimya
 
Jifunze kujadili vitu vizito usilete mipasho vita ikimalizika utajiunga na fundi la tarab au bai koko busara kama Huna cha kulisha ubongo unapita kimya
Kweni Ayatula sio Sponsor wa Magaidi ya Hezbola Hamas Houthi?! Ukinijibu hapo ndio tujadiliane.
 
Yaani wewe jamaa huwa UNAHANGAIKA SANA. Unaonekana wewe ni mtu wa MAJUNGU MTAANI KWENU NA KAZINI
 
Ni kweli ikuwa ya wachina wameinunua sasa wao kama walivyochukua license ya kuwatengenezea Hezbullah Pagers kutoka kwa wakorea.
hata hiyo simu yako unayotumia ni ya mosad nasikia hata mkeo naye ni mke wa mosad hata jf ni ya mosad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…